• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Waziri Dkt Dorothy Gwajima Azindua Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto DSM

Posted on: December 23rd, 2022

 

Mhe Dkt Dorothy Gwanyima Akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa shule ya msingi baada ya uzinduzi huo Karimjee DSM


- Asema Uzinduzi wa Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto DSM ni kwa niaba ya Mikoa mingine yote ya Tanzania Bara

-Apongeza Mkoa wa DSM kwa kufikia 90% ya uundaji wa Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt Dorothy Gwajima leo amezindua Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam.

Waziri Gwajima amesema Uzinduzi huo katika Mkoa wa Dar es Salaam ni kwa niaba ya Mikoa mingine yote ya Tanzania Bara.

Hata hivyo Waziri Gwajima amesema Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto yameundwa kwa lengo la Kuimarisha Utekelezaji wa Haki, Ulinzi na Ustawi wa mtoto nchini Serikali kupitia Wizara yenye dhamana na watoto iliandaa sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 ambayo imeainisha haki 5 za msingi za mtoto

Haki hizo ambazo ni *Kuishi, Kulindwa, Kuendelezwa, Kushiriki na Kutobaguliwa vilevile wizara imeratibu utungwaji wa sheria ya mtoto Na 21 ya mwaka 2009 na sasa inafanya mapitio ya baadhi ya vipengele vya sheria hiyo na kanuni zake ili iweze kukidhi mahitaji kwa ajili ya ustawi wa watoto.

Aidha Mhe Dkt Dorothy Gwajima ameupongeza Mkoa wa Dar es Salaam kwa kufikia 90% ya uundaji wa mabaraza na madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto ambapo *jumla ya Mabaraza ya Watoto 377 na Madawati ya Ulinzi na Usalama ni 776 hivyo Mabaraza na Madawati yaliyoanziswa ni 1,153 sawa na asilimia 90 ya madawati yote yanayopaswa kuundwa katika Mkoa wa DSM.

Baadhi ya wasanii ambao ni mabalozi wa kupinga ukatili dhidi ya watoto nchini wakiwa katika ukumbi wa Karimjee-DSM


Waziri Mhe Dkt Dorothy Gwajima ameitaka jamii kushirikiana na Serikali kupambana na ukatili dhidi ya Watoto hapa nchini, kwa kutoa elimu au taarifa pale wanapoona vitendo vya ukatili vinafanyika.

Hafla hiyo ya *Uzinduzi wa Mabaraza na Madawati ya Ulinzi na Usalama wa Watoto imeudhuriwa na watoto wa Shule za msingi, Wasanii ambao ni mabalozi wa Kataa ukatili dhidi ya Watoto, wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii wa Halmashauri za Mkoa huo

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa