• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Watumishi wa Mkoa na Halmashauri DSM Wapatiwa Mafunzo ya Mfumo Mpya wa Manunuzi NeST

Posted on: August 29th, 2023

 

Akifungua mafunzo hayo ya mfumo wa manunuzi ya Umma wa kielektroniki NeST Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Mhandisi Aman Mafuru amesema lengo la mafunzo ni kujifunza jinsi ya kutumia mfumo mpya na kuhakikisha Taasisi zote nunuzi zinatumia mfumo huu katika manunuzi yote yanayotumia fedha za Umma

Aidha Mhandisi Mafuru amesema faida za mfumo wa NeST ni kuongeza Uwazi, Ushindani na Usawa katika Shughuli za Ununuzi hivyo kupunguza mianya ya Rushwa na kupata thamani halisi ya fedha katika Ununuzi wa Umma.

Mfumo wa TANePS utafika ukomo wa manunuzi ifikapo Septemba 30, 2023 hivyo mfumo mpya utaanza kutumika rasmi Octoba 1, 2023, Taasisi nunuzi hazitaruhusiwa kufanya ununuzi wa umma nje ya mfumo wa NeST. Taasisi nunuzi ambayo itafanya ununuzi wowote bila kutumia mfumo wa NeST itakua imetenda kosa na hivyo Afisa masuhuli wa Taasisi husika atachukuliwa hatua zinazostahili kwa mujibu wa Sheria.

Vilevile amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa pesa na kuiwezesha wizara ya Fedha kwa kushirikiana na PPRA kujenga mfumo huu hivyo amewataka washiriki wote wa mafunzo hayo kujifunza kwa bidii ili baada ya mafunzo haya kwenda kufundisha idara tumizi ndani ya Halmashauri zao kabla au ifikapo Septemba 15, 2023

Mwisho Mafunzo hayo ni ya siku tano (5) ambayo yameanza leo Agosti 29,2023 yanatarajiwa kumalizika Octoba 2, 2023 yanawahusisha  Wataalam kutoka Sekretarieti ya Mkoa, Ofisi za Wakuu wa Wilaya na Halmashauri zote tano (5) za Mkoa huo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa