• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

"Tunapoombea Amani Tanzania Tumuombee na Mama Samia Agombee 2025" RC Makalla

Posted on: October 7th, 2021

 

- Asema Mhe Rais Samia Suluhu anaheshimu sana viongozi wa Dini na anathamini mchango wao

- Asisitiza Umuhimu wa kuombea Nchi Amani, Upendo na Umoja pasipo kusahau Kumuombea Rais Mhe Samia Suluhu

- Awahakikishia usalama katika Kipindi chote cha Mkutano Mkuu wa Injili maarufu kwa jina la " Imani, Upendo, Miujiza "

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Octoba 7, 2021 kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano Mkuu Injili maarufu kwa jina "Imani Upendo Miujiza"

Hafla ya uzinduzi huo imefanyika katika Hotel ya Hayatt Jijini Dar es Salaam.

Akitoa Salaam za Serikali Mhe Makalla amesema Rais *Mhe Samia Suluhu Hassan* anawaheshimu sana viongozi wa Dini na anathamini mchango wao katika mstakabali wa Taifa hili na leo alikuwa tayari kuja kufungua Mkutano huu Mkubwa wa Injili lakini kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake ameshindwa kuhudhuria hapa leo.

Katika kudhihirisha imani yake na viongozi wa Dini hapa Nchini toka ashike kiti cha urais ndani ya miezi 6 tayari ameshakutana na makundi mbalimbali ya Viongozi wa Dini sote ni mashaidi Alisema Mhe Makalla

"Nchi sasa imetulia tuendelee Kumuombea Rais, Mama anatosha anaipeleka nchi pazuri katika Uchumi mzuri tumuombee agombee 2025 " Alisisitiza Mhe Makalla

Mkuu wa Mkoa amesema amefurahishwa na dhima ya Mkutano Mkuu wa Injili ambayo ni Kuliombea Taifa la Tanzania na Rais wake, tuendelee kuomba Amani, Upendo na Umoja ili Taifa lisonge mbele.

Mhe Makalla amebainisha kuwa yeye ni mwenyekiti wa Ulinzi na usalama DSM Mkutano huo Mkubwa wa Injili unafanyika DSM hivyo unabaraka zake zote.

Aidha Mhe Makalla amesema ni imani yake kuwa mikutano hiyo inafanyika huku kukiwa na taadhari kubwa dhidi ya Uviko - 19 na bahati nzuri kuna nguvu ya kimungu nyuma yake ambayo inaenda kuliweka Taifa la Tanzania katika Mikono Salama.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa