• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Serikali ya Tanzania Yasaini Makubaliano na Serikali ya Korea Ujenzi wa Mradi wa Maji Taka-DSM

Posted on: December 16th, 2024

 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini makubaliano na Serikali ya Jamhuri ya Korea kusini kwa ajili ya ujenzi wa mradi mfumo wa uchakataji maji taka Mko wa Dar es salaam mradi utakaotumia zaidi ya dola za marekani milioni 90

Akizungumza leo Disemba 16, 2024 jijini Dar es salaam mara baada ya kushuhudia utiaji saini makubaliano hayo Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema tukio hilo ni matokeo ya ziara ya Rais Dkt Samia kutembelea Korea Kusini ambapo amesema mradi huo utakaotekelezwa kwenye wilaya za Kinondoni na Ilala utatekelezwa kwa miezi 36

Waziri Awesu ametumia mkutano huo kuwataka watendaji wa DAWASA kuhakikiaha wananchi wa Mkoa huo wanapata maji safi na salama bila kuleta visingizio kwani kwa sasa maji yapo

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila akiwa mgeni rasmi kwenye mkutano huo amezungumzia changamoto ya mtandao wa maji kutofika kwenye baadhi ya maeneo huku akiomba kupungua kwa muda wa mgao wa maji na kumaliza changamoto ya mfumo wa maji taka

Aidha naye Mtendaji mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire amesema mradi huo wenye thamani ya dola milioni 90 kutoka Korea kusini kupitia benki ya Exim ujenzi wake utatumia muda wa miezi 36 lengo likiwa ni kukabiliana na kiwango kikubwa cha maji yanayozalishwa.


Naye Balozi wq Korea kusini nchini Tanzania Ann Ewunju ameahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania na kwamba mradi huo unakwenda kutekelezwa kwa ubora na utakamilika kwa wakati kama ilivyokusudiwa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa