• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makonda Amaliza Migogoro Sugu Iliyowatesa wakazi wa Tabata Liwiti

Posted on: July 4th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametegua kitendawili kilichowatesa kwa muda mrefu wakazi wa Kata ya Liwiti baada ya mmoja wa wananchi kudai ndie mmilika halali wa eneo la Soko lao jambo lililotaka kupelekea uvunjifu wa Amani.

Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara na wananchi hao RC Makonda ameagiza eneo hilo kurejeshwa kwa wananchi kwa ajili ya matumizi ya Soko baada ya kubainika kuwa anaedai eneo hilo aliuziwa kihalali alijichanganya badala ya kwenda kiwanja kilichopo Block No. 200A kujikuta anakwenda Block No. 200B ambacho kwa mujibu wa Ramani ya Mipango miji ni eneo la Umma.

Kutokana na Mkanganyiko huo RC Makonda ameagiza Mama huyo kuonyeshwa kiwanja chake Block No. 200A na kuagiza asitokee mtu yoyote wa kuwabugudhi wananchi na eneo lao la soko.

Aidha RC Makonda ameagiza kuvunjwa Mara moja kwa ukuta mmoja wa mwananchi aliyejenga kwenye eneo la hifadhi ya barabara na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa mtaa wa Amani Kata ya Tabata Liwiti kukosa sehemu ya kupita na kujikuta wanazunguka umbali mrefu.

Pamoja na hayo RC Makonda pia ameagiza Uwanja wa mpira wa Tabata Sigara kurejeshwa kwa wananchi kwaajili ya matumizi ya michezo baada ya wananchi kulalamika kuwa aliyenunua Magorofa ya Sigara anadai kuwa amenunua pia eneo la Kiwanja na kusababisha kukosekana kwa eneo la michezo.

Sambamba na hayo RC Makonda amempongeza Mbunge wa Jimbo la Segerea Mhe. Bona Kalua kwa kuendelea kuwasemea wananchi juu ya kero zinazowasumbua hadi kuzifikisha ofisi ya Mkuu wa mkoa.

Kwa upande wao wakazi wa Kata ya Liwiti wamefurahia kuona migogoro yao ya muda mrefu imetatuliwa kwa mpigo ambapo wamempongeza RC Makonda kwa usimamizi mzuri wa sheria huku wakimpongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuwateulia Mkuu wa Mkoa anaewafuata na kuwasikiliza wananchi wake.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa