• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Ujenzi wa Mdarasa 743 DSM Unaenda Vizuri

Posted on: December 15th, 2021

 - Asema hadi sasa tayari Madarasa 570 yamekamilika

- Amshukuru Rais Samia kwa uamuzi sahihi wa kuelekeza fedha zaidi ya Bilioni 15 DSM

- Changamoto za wanafunzi waliofaulu na kukosa nafasi kutokana na uhaba wa vyumba vya Madarasa sasa itakuwa historia

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo amezuru katika shule ya Sekondari Kambangwa Kinondoni- Dar es Salaam.

RC Makalla akiwa katika shule hiyo alikagua Ujenzi wa vyumba vya Madarasa ambavyo vimejengwa kutokana na fedha za Mapambano dhidi ya Uviko-19 zilizotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiongea na waandishi wa habari RC Makalla amesema zoezi la Ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika Mkoa linaendelea vema tayari vyumba vya Madarasa 570 vimekamilika na vyumba 173 viko katika hatua ya ukamilishwaji.

RC Makalla amesema anaungana na wananchi hususani Wilaya ya Kinondoni Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa busara tena kwa uwazi kuelekeza fedha hizo katika Mikoa, DSM ikiwa mojawapo ili kuboresha miundombinu ya Elimu.

"Ujenzi wa vyumba vya Madarasa DSM unaenda kumaliza tatizo lililokuwa linatokea ambapo wanafunzi waliokuwa waliofaulu lakini wanakosa nafasi kutokana na uhaba wa vyumba vya Madarasa" Alisema RC Makalla

Aidha RC Makalla amewapongeza Wilaya ya Kinondoni na Mkuu wa shule ya Sekondari Kambangwa kwa kusimamia vizuri Ujenzi wa vyumba vya Madarasa na kukamilisha kwa wakati

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa