• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA : TANZANIA KUWA MWENYEJI KATIKA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

Posted on: November 28th, 2022

 

-  Asema Mkutano huo kufanyika Jiji DSM kwa siku Saba na kuhudhuriwa na watu 300 kutoka Nchi 140 ambao ni wanachama wa Baraza la Michezo duniani

- Akiri kutoa ushirikiano kwa waandaaji hao mwanzo mwisho na kumuagiza RAS kwa kushirikiana na ujumbe huo kutengeneza Sekretarieti nzuri itakayobeba watu muhimu

- Aongeza kuwa Ugeni huo utakuwa na Manufaa makubwa katika Nchi

- Kwa upande wake Col Joseph Bakari ambaye ni Mkurugenzi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani ameipongeza Dsm na Tanzania kwa Ujumla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla leo tarehe 28 Novemba 2022 akiwa Ofisini kwake ametangaza Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani

Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Mwezi Mei, 2024 Jijini Dar es Salaam kwa muda wa siku Saba na kuhudhuriwa na watu 300 kutoka Nchi 140 ambao ni wanachama wa Baraza la Michezo Duniani

RC Makalla amekiri kutoa ushirikiano kwa waandaaji wa Mkutano huo mwanzo mwisho na kumuagiza RAS kwa kushirikiana na waandaaji hao kutengeneza Sekretarieti nzuri itakayobeba watu muhimu katika kufanikisha Mkutano huo

Mkuu huyo wa Mkoa ameongeza kuwa Ugeni huo Mkubwa kutoka Nchi 140 Duniani utakuwa na Manufaa makubwa katika Nchi yetu ya Tanzania hususani Dar es Salaam kwani utajenga mahusiano, utamaduni, utakuza utalii wetu, kukuza uchumi na faida nyingine nyingi

Kwa upande wake Col. Joseph Bakari ambaye ni Mkurugenzi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani ameipongeza Dar es Salaam na Tanzania kwa Ujumla kwa kuwa mwenyeji wa Mkutano huo Mkubwa wa Muhula wa 79 hakika Tanzania inaenda kufunguka zaidi kimataifa.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa