• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: RAIS DKT. SAMIA AMEIDHINISHA BILIONI 4 KUJENGA MADARASA 207 WILAYA YA TEMEKE

Posted on: December 13th, 2022

 

- Asema fedha hizo zimesaidia kuondosha michango ya nyumba kwa nyumba Kwa Wazazi na walezi

- Ataka Vyumba vya Madarasa kukamilika kabla ya Disemba 30 mwaka huu.

- Amuhakikishia Rais Dkt. Samia hakuna Mwanafunzi yoyote atakaekosa Fursa ya kusoma DSM

- Asisitiza Ubora wa Majengo yanayojengwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ameendelea na ziara ya ukaguzi Maendeleo ya Ujenzi wa vyumba vya Madarasa Mkoa huo na Leo ilikuwa zamu ya Wilaya ya

 Temeke ambapo ameelekeza Halmashauri hiyo kuhakikisha Madarasa yanakamilika kabla ya Disemba 30 mwaka huu.

RC Makalla amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maamuzi sahihi ya kutoa fedha ili kuhakikisha kila Mwanafunzi anasoma kwenye mazingira Bora na kuwaondolea Wazazi usumbufu wa michango Kama miaka ya nyuma.

Aidha RC Makalla ameshuhudia Ujenzi wa Madarasa ukiendelea vizuri ambapo Wilaya ya Temeke ilipokea Shilingi Bilioni 4.1 kwaajili ya Ujenzi wa Madarasa 207 ikiwemo ya Gorofa na Mtawanyiko ambapo mpaka Sasa Madarasa 97 yapo kwenye ngazi ya Ujenzi wa Msingi, 32 ukuta, 67 Yanaezekwa na 11 Ujenzi unaanza kesho Baada ya kupatikana kwa maeneo.

RC Makalla pia amepokea taarifa ya Wilaya juu ya idadi ya wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na masomo mwezi January mwakani ambapo Kwa Shule za Awali wanaotarajiwa ni wanafunzi 6,343, Msingi wanafunzi 26,000 na Sekondari 23,000.

Ifahamike kuwa Mkoa wa Dar es salaam ulipokea zaidi ya Shilingi Bilioni 12.3 kwaajili ya Ujenzi wa vyumba vya Madarasa kwaajili ya wanafunzi wa Shule za Awali, Msingi na Sekondari ambapo pia amesisitiza Ubora wa Majengo yatakayojengwa.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa