• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Miradi ya Maji Inayojengwa Pembezoni Mwa Jiji ni Maelekezo ya Rais Samia

Posted on: April 25th, 2022

- Ampongeza kwa uamuzi wa kuhakikisha maeneo ya pembezoni yanapata huduma ya maji.

- Awamwagia sifa DAWASA kwa utendaji mzuri.

- Awaonya Wananchi wanaoiba mita Za maji.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Miradi yote ya Maji inayotekelezwa pembezoni Mwa Mji ni maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha huduma ya Maji safi inawafikia Wananchi wote ambapo amewapongeza DAWASA kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya.

RC Makalla ameyasema hayo wakati wa ziara ya kukagua Mradi Mkubwa wa usambazaji wa Maji kutoka Tank la maji Kisarawe kuelekea Pugu, Gongolamboto na Maeneo jirani uliogharimu Shilingi bilioni 7.3 ambapo tank la Pugu lina uwezo wa kupokea Lita Milioni mbili za maji.

Katika Ziara hiyo RC Makalla amepokea shukrani na shuhuda za Wakazi wa Pugu ambao Wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwafikishia huduma ya maji majumbani na kutatua Kilio Cha muda mrefu Cha ukosefu wa Maji kilichokuwa kikiwakabili.

Aidha RC Makalla amewapongeza DAWASA kwa utekelezaji wa Miradi kwa kutumia fedha za ndani ambapo pia amesifu ubunifu wa kuwaunganiahia Wananchi maji kwa mkopo.

Hata hivyo RC Makalla amekemea Wizi wa Miundombinu ikiwemo Mabomba na Mita za Maji jambo linalorudisha nyuma Nia Njema ya Serikali kwa Wananchi wake.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amewasilisha kwa RC Makalla ombi la ziara ya siku tano ya kutembelea na kujionea miradi mikubwa ya Maji inayotekelezwa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ambapo kukamilika kwake kutasaidia upatikanaji wa huduma maji kila kona ya Jiji Hilo.
















Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa