• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awahamasisha Wananchi Kuchangamkia Chanjo

Posted on: March 17th, 2022

 

-Apongeza MDH kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa katika mambo mbalimbali ya Afya na hasa Mapambano ya Uviko-19

-Asema Wananchi wanahitaji kupatiwa maarifa na kuelimishwa Umuhimu wa Chanjo ya Uviko-19

-Asisitiza Mdau Mkubwa wa Afya yako ni wewe mwenyewe hivyo Ujanja ni Kuchanja

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla ameyasema hayo leo wakati anaongea na Wataalam wa Afya kutoka MDH na Sekretarieti ya Mkoa na Wilaya katika kikao cha kuweka mikakati ya Kampeni ya kuongeza kasi ya kuhamasisha Wananchi wa Mkoa wa DSM kuchanja chanjo ya Uviko-19.

Kikao hicho kilimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Posta Ilala-Dar es Salaam.

RC Makalla amewapongeza MDH ( Management Development of Health) kwa kushirikiana na Serikali katika nyanja mbalimbali za Afya huku akibainisha MDH ni "partiner" mzuri wa Serikali.

"Ninauzoefu na NGO'S nyingi utakuta zina malengo mazuri na mikakati mingi lakini hakuna kinachofanyika niwapongeze sana MDH" Alisema RC Makalla

Aidha RC Makalla amesema wananchi katika makundi mbalimbali, popote walipo wahamasishwe na kupatiwa maarifa ya Umuhimu wa Chanjo ya Uviko-19 ili wawe na uelewa waweze kuchanja kwa hiari yao.

Hata hivyo RC Makalla amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fursa ya kupata chanjo na kuleta Chanjo za kutosha ambazo zimesaidia nchi yetu kuto kutengwa na kuwa sehemu ya Dunia kwa kuwa ilikuwa vigumu mtu kusafiri bila kuchanjwa.

Sambamba na hilo RC Makalla amebainisha *mdau namba moja wa Afya yako ni wewe mwenyewe hivyo Ujanja ni Kuchanja, Chanjo ya Uviko-19 ni Salaam imethibitishwa na Wataalam wa Afya

Kwa upande wa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt Rashid Mfaume amesema hali ya uchanjaji kwa Mkoa sio mbaya sana kinachotakiwa ni kuendeleza kasi ya Uhamasishaji na uelimishaji wa jamii juu ya Umuhimu wa Chanjo ya Uviko-19.

Kikao hicho kiliwajumuisha Viongozi wa Amani (Dini) Mkoa wa DSM, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wataalam kutoka MDH, Wilaya, na Sekretarieti ya Mkoa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa