• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atoa Siku 14 Kwa Wavamizi wa Ardhi Mbondole Kuondoka

Posted on: June 3rd, 2022


- Ni Baada ya Mmiliki halali wa eneo Mzee Martin Nasson kukataa kulipwa fidia na Wavamizi.

- Viongozi wa Mtaa walioshiriki kuuza maeneo na kusababisha Mgogoro wakamatwa.

- Zaidi ya Shilingi Milioni 229 za Wananchi zimetafunwa na Viongozi hao.

- Wananchi WATAKIWA kuhama Na kuondosha maendelezo wenyewe.

- Awataka Wananchi kuacha tabia ya kuvamia maeneo.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa muda wa siku 14 kwa Wananchi zaidi ya 700 wa Mtaa wa Mbondole Wilaya ya Ilala waliovamia na kujenga kwenye eneo la Mzee Martin Nasson kuondoka na kutoa wito kwa Wananchi kuacha tabia ya kuvamia maeneo.

RC Makalla ametangaza maamuzi hayo Baada ya Kukosekana kwa muafaka baina ya Mmiliki aliepewa haki na Mahakama kushindwa kukubali ombi la Wavamizi waliotaka kumlipa fidia ili waachwe kwenye eneo Hilo.

Kutona na Hilo RC Makalla amesema ifikapo Tarehe 18 mwezi huu asionekane mtu kwenye eneo Hilo na kusisitiza kuwa siku 14 zilizotolewa ni Huruma ya Serikali kwakuwa tayari walishaamuriwa na Mahakama kuondoka tokea muda mrefu.

Hata hivyo RC Makalla Serikali itaendelea kuheshimu Maamuzi yanayotolewa Muhimili wa Mahakama katika kusimamia Sheria.

Pamoja na hayo RC Makalla amewatahadharisha Wananchi kuacha tabia ya kuvamia au kununua maeneo pasipo kujiridhisha na Nyaraka za umiliki

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • RAS MADENGE ASISITIZA UTOAJI HUDUMA BORA ZA AFYA KWA WANANCHI

    January 24, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa