• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA : ATEMBELEA ENEO LA MGOGORO WA ARDHI KIGAMBONI ATOA SIKU 7 MMILIKI WA ENEO APATIKANE

Posted on: November 29th, 2022

 

-Aagiza kufanyika kwa kikao maalum ndani ya siku 7 ambacho kitaongozwa na yeye mwenyewe

- Asema hakuna anayeweza kujadili au kupinga uamuzi wa mahakama

-Asisitiza busara itumike kufikia muafaka wa mgogoro huo wa Ardhi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo ametembelea na kujionea eneo la mgogoro wa Ardhi Kidagaa Mikenge Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

RC Makalla amepata wasaa wa kulitembelea eneo hilo kujionea uwekezaji uliofanyika na Kampuni ya ACB pamoja na maeneo ya watu wanne ambayo yako mita chache kutoka baharini.

Aidha RC Makalla amesikiliza maoni ya wananchi wa eneo hilo ambao wameomba kuwepo kwa barabara kuelekea baharini, ambapo katika historia inasemekana ilikuwepo, uwepo wa barabara hiyo utawezesha kufanya shughuli zao za kila siku za Uvuvi

Hata hivyo yuko mwekezaji wa Hotel ambaye amesema kwa muda wa miaka 2 sasa hajafanya biashara kutokana na kufungwa kwa njia na kumuomba Mkuu wa Mkoa kunusuru biashara yake kwa kuhakikisha uwepo wa barabara katika eneo hilo

Kutokana na mgogoro huo RC Makalla ameagiza ndani ya siku 7 kuanzia leo Novemba 29,2022 mmiliki wa eneo hilo la Mikenge apatikane yeye mwenyewe, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Wamiliki wa viwanja 4, Mstahiki Meya, Wawakilishi wa wananchi, na yeye mwenyewe watafanya Kikao cha kufikia Suluhu ya mgogoro huo wa Ardhi.

RC Makalla amesema hakuna kiongozi yoyote yule hapa nchini anaweza kupinga maamuzi ya mahakama hivyo amesisitiza umuhimu wa kutumia busara kufikia Suluhu ya mgogoro huo wa Ardhi eneo la Kidagaa- Mikenge Wilaya ya Kigamboni


Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa