• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atembelea Dampo la Pugu Kinyamwezi

Posted on: April 25th, 2022

- Aagiza Watalaam wa jiji Na ofisi yake waandae michoro Na gharama Za barabara ya kuingia Dampo Na kutoka.

- Awaonya Na ameelekeza uchunguzi ufanyike kwa wanaoiba mafuta ya kuendeshea mitambo ya Dampo

- Aagiza Manispaa zote kutenga maeneo ya madampo kupunguza mlundikano wa taka Dampo la pugu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ametembelea Dampo la Pugu Kinyamwezi na kujionea ubovu wa Miundombinu ya kuingia na kutoka jambo linalosababisha Magari ya taka kushindwa kumwaga taka sehemu zinazostahili.

Kutokana na kadhia hiyo RC Makalla ameelekeza Wataalamu kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuandaa michoro na gharama za Ujenzi wa Barabara za kuingia na kutoka.

Aidha RC Makalla ameelekeza kila Halmashauri kutenga eneo kwaajili ya Ujenzi wa dampo kwakuwa Dampo la Pugu limezidiwa Kutokana na ongezeko la watu Jijini humo na kushindwa kuhimili kupokea taka za Mkoa mzima wa Dar es salaam.

Hata hivyo RC Makalla ameonya na kuelekeza Uchunguzi ufanyike kwa Wezi wa Mafuta ya kuendesha mitambo kwenye Dampo la Pugu ambapo ameita kitendo hicho ni hujuma kwa Serikali.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema tayari Zimejitokeza Kampuni 3 kutoka China, Italy na Dubai zilizoonyesha dhamira ya kugeuza taka kuwa umeme ambapo tayari amewapeleka Wizara ya Nishati* kwaajili taratibu nyingine.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa