• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atekeleza Maelekezo ya Rais SAMIA Kulinda Kingo ya Bahari Cocobeach.

Posted on: November 9th, 2021


- Aleta wataalam wa kuboresha usalama wa bahari kwa wafanyabiashara wa eneo hilo

- Asema tayari TANROAD walishafika kwa ajiri ya kuboresha barabara ya kuingia na kutoka Cocobeach

- Asisitiza kuboresha zaidi mandhari sehemu ya mbele kwa kuweka "perving" na "Purms"

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Novemba 9, 2021 amezuru eneo la Cocobeach akiwa ameambatana na wataalam kwa lengo la kutekeleza maelekezo ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassan alipotembelea Cocobeach - Kinondoni, Dar es Salaam.

Mhe Makalla amesema wataalam hao wameletwa ili kuweka mawe ili kulinda kingo ya bahari ambayo ni kwa ajili ya USALAMA wa bahari na wafanyabiashara wadogo wanaofanya Shughuli zao katika eneo hilo kutokana tabia ya maji kupanda na kushuka.

Aidha Mkuu wa Mkoa amesema wataalam hao pia wataweka "perving" eneo la mbele kwa ajili ya kuzuia vumbi na kupanda "Purms" ili eneo hilo liwe na mvuto.

Sambamba na hilo Mhe Makalla amesema tayari TANROAD walishafika jana kwa ajiri ya kuboresha barabara ya kuingia na kutoka ndani ya Cocobeach na kazi hiyo itafanyika haraka iwezekanavyo.

"Tunaendeleaa kuboresha Cocobeach, ivutie na fukwe hiyo ni kwa ajili ya watu wote, YAJAYO YANAFURAHISHA" Alisema RC Makalla

Matangazo

  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Aridhia na Mapendekezo ya Ugawaji wa Baadhi ya Kata na Mitaa Kigamboni

    November 29, 2023
  • Hospitali 3 za Rufaa Dar za Kabidhiwa Ambulance za Kisasa

    November 28, 2023
  • DSM Yazindua Mfumo wa Vyeti vya Kuzaliwa vya Watoto

    November 28, 2023
  • RC Chalamila Afungua Mkutano wa Wadau wa TIB

    November 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Akutana na wataalam wa APHFTA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa