• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atangaza Kuanza kwa Awamu ya Pili ya Pendezesha DSM

Posted on: May 8th, 2023

- Asema Awamu ya kwanza imekuwa na Mafanikio Makubwa ya kudhibiti biashara Holela, usafi Na uondoshaji takataka.

- Awamu ya pili ni upendezeshaji ikiwemo, upandaji miti, bustani na upakaji rangi nyumba kwenye Smart Road.

- Ataka Kila Halmashauri Kuanza maandalizi ya kampeni ya Usafi mtaa kwa mtaa.

- Aongoza Kikao kazi cha kuweka mikakati ya kuelekea awamu ya pili ya kishindo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam CPA, Amos Makalla leo ametangaza Kuanza kwa awamu ya pili ya kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM baada ya awamu ya kwanza ya kampeni hiyo iliyodumu kwa mwaka Mmoja na miezi 5 kuwa na Mafanikio Makubwa ikiwemo kufanya Jiji Hilo kushika nafasi ya Sita kwa usafi Afrika.

Akizungumza wakati wa kikao kazi Cha tathimini awamu ya kwanza na kuweka mikakati ya awamu ya pili,CPA, Makalla ameelekeza watendaji kuanzia ngazi ya Mkoa, Wilaya, Kata na Mitaa kusimamia ufanyaji Usafi.

Aidha CPA, Makalla amesema miongoni mwa mambo yayopaswa kuwekewa mkazo zaidi ni udhibiti wa ufanyaji biashara holela, usafishaji mazingira, upendezeshaji na upandaji miti kwenye bustani.

Kutokana na Mwamko mkubwa wa usafi uliopo, RC Makalla ameelekeza Kila Halmashauri kushirikiana na wadau ambao wapo tayari kupendezesha Jiji huku akielekeza Taasisi za TANROAD, TARURA na DAWASA kufanya kazi kwa ushirikiano.

Pamoja na hayo CPA, Makalla amesema lengo la kampeni hiyo ni kufanya Dar es salaam izidi kushika nafasi za juu kwa usafi Afrika jambo litakalosaidia kudhibiti pia mlipuko wa magonjwa ya mlipuko ikiwemo Kipindupindu na hata kudhibiti maambukizi ya malaria.

Hata hivyo RC Makalla ameendelea kusisitiza Wananchi kufanya usafi Kila ifikapo jumamos ya mwisho wa Mwezi huku akiwataka wafanyabiashara kufanya biashara kwenye Maeneo waliyopangwa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa