• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla: Atangaza "Dar Sunset Canival" Ndani ya Cocobeach

Posted on: September 29th, 2021

- Abainisha itakuwa ni sehemu nzuri ya kupumzika na burudani babukubwa "Vibe la kutosha"

- Asema fukwe ya COCO hajapewa mwekezaji bali wameshirikishwa wadau kwa ajili ya kuboresha.

- Asisitiza waliokuwa wanafanya biashara katika eneo hilo hawataondolewa ndio maana waliorodheshwa

- Awahakikishia usalama wa kutosha katika eneo la Coco beach

-  Awataka vijana kuweka Mkakati wa usafi katika fukwe hiyo, asema COCO pataitwa " Dar sunset Canival "

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Septemba 29, 2021 amefanya kikao kazi na Makampuni ya Vinywaji Katika fukwe za Coco beach Kinondoni jijini Dar es salaam.

Akiongea na wafanyabiashara hao Mkuu wa Mkoa ametangaza Dar Sunset Canival ndani ya Cocobeach ambapo kutakuwa na burudani babukubwa na itakuwa sehemu nzurii ya watu kupumzika.

Vilevile amesema Serikali inawapenda wafanyabiashara wadogo wadogo hivyo *wasipotoshwe na mtu yeyote kuwa wanafukuzwa, amewahakikishia hakuna atakayefukuzwa* bali wanaboresha eneo hilo liwe na mwonekano mzuri, livutie kwa ajili utalii na watu kupumzika

Mhe Makalla amesema fukwe ya COCO hajapewa mwekezaji isipokuwa wameshirikishwa wadau wa Biashara katika kuboresha fukwe hiyo iwe na mwonekano mzuri hatimaye ivutie Utalii na watu wapate sehemu ya kupumzika.

" Coco beach itakuwa ni ya watu wote wenye vipato vikubwa na vidogo wataweza kutembelea kupumzika na kupata burudani pataitwa Dar Sunset Canival " Alisema Mhe Makalla

Aidha Mkuu wa Mkoa amesema kwa kuwa yeye ndiye mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama, amewahakikishia Usalama nyakati zote hakutakuwa na kibaka au mateja katika fukwe hiyo.

Sambamba na hilo Mhe Makalla amesema katika fukwe hiyo Makampuni yafuatayo ndio wadau muhimu katika uboreshaji wa fukwe hiyo Cocacola, Pepsi, Azam Group, TBL, CRDB, na NMB

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa