• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA ATAJA MWAROBAINI WA MASWALA YA LISHE DAR

Posted on: July 29th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makala akiongea wakati wa kikao kazi katika ukumbi wa Anatoglo Jijini Dar es Salaam.


#Ataka jamii kuelimishwa na kuhamasishwa juu ya lishe bora.

#Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam kutenga bajeti katika masuala ya lishe na wataalamu wa lishe kutekeleza majukumu yao.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla wakati anafungua kikao kazi cha tathimini ya viashiria vya mkataba wa Lishe na mikakati ya Mkoa katika Kupambana na ugonjwa wa UVIKO -19.

Kikao ambacho kimehusisha Sekretarieti ya Mkoa wa Dar es Salaam, wakuu Wilaya zote, Makatibu tawala wa Wilaya, Wakurugenzi na wadau wengine katika  ukumbi wa mikutano Anatoglo Jijini Dar es Salaam.
"Kwa uzoefu wangu katika maeneo niliyofanya kazi tatizo la lishe duni au udumavu halitokani na kutokosekana kwa chakula shida kubwa ni uelewa wa jamii katika ulaji wa mlo kamili" Alisema Mhe Makala

Mhe Mkuu wa Mkoa ameelekeza kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi pamoja na wataalamu kutenga bajeti, kutoa elimu na kuihamasisha jamii katika ulaji wa mlo kamili au lishe bora.
Sambamba na hilo wataalamu wa lishe katika ngazi ya Wilaya zote watekeleze majukumu yao kwa kuzingatia taaluma zao.

Aidha mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt Rashid Mfaume akiwasilisha taarifa ya kikao hicho amesema Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa hakuna udumavu jitihada zaidi zitaelekezwa ili kuwa bora zaidi.


Imetolewa na:

OFISI YA HABARI NA UHUSIANO 

MKOA WA DAR ES SALAAM

















Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa