• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Aridhishwa na Kasi ya Maboresho ya Ujenzi Soko Jipya la Kariakoo

Posted on: September 23rd, 2022

 

- Amshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa wakati.

- Ujenzi umefikia Asilimia 40 na Mkandarasi yupo ndani ya Muda.

- Asema maandalizi ya Mpango wa Kariakoo kufanya Biashara saa 24 yanaendelea vizuri

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemuelekeza Mkandarasi wa Kampuni ya Estim Construction Ltd kuongeza Kasi ya Ujenzi na Maboresho ya Soko la Kariakoo likamilike kwa wakati ili Nia njema ya Rais Samia Suluhu Hassan kuona Wafanyabiashara wa Kariakoo wanafanya biashara katika mazingira Bora inatimia.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa Soko lililoungua na Soko jipya lenye urefu wa gorofa 6 ambapo Ujenzi unaghahirimu zaidi ya Shilingi Bilioni 26.

Katika Ziara hiyo RC Makalla ameonyesha kuridhishwa na Kasi ya Mkandarasi ambae mpaka Sasa amefikia Asilimia 40 jambo linloleta matumaini ya Soko kukamilika kwa wakati.

Aidha RC Makalla amemshukuru na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa pesa kwa wakati jambo linalomuwezesha Mkandarasi kutekeleza Majukumu yake pasipo usumbufu wowote.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema kukamilika kwa Soko Hilo itabadili mfumo wa uendeshaji biashara kwa kutoa Wigo mpana wa kupokea Wafanyabiashara wengi Zaidi kutoka *Wafanyabiashara 600 mpaka kufikia Wafanyabiashara zaidi ya 2,000.

Kuhusu suala la Kariakoo kufanya biashara saa 24 Kama Rais Samia alivyoelekeza, RC Makalla amesema kikosi kazi kinaendelea kufanya tathimini Kisha kitawasilisha taarifa kwaajili ya utekelezaji.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Ataka DSM ya Kijani na Bustani za Watu Kupumzika

    March 25, 2023
  • RC MAKALLA AFUNGUA SEMINA YA USAMBAZAJI NA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 DSM

    March 24, 2023
  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa