• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

Posted on: February 1st, 2023

 

- Asema utaharakisha utatuzi wa migogoro

- Awaomba mawakili kushawishi wateja wao kwa kesi zinazohitaji usuluhishi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla ameipongeza Mahakama kwa utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi, pongezi hizo amezitoa leo wakati akitoa salamu za Mkoa katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya sheria nchini Kanda ya Dar es Salaam katika viwanja vya Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam

RC Makalla amesema utatuzi migogoro kwa Usuluhishi utaharakisha utatuzi wa migogoro kwa kuwa migogoro mingi itatatuliwa na kumalizwa katika ngazi hiyo pasipo kupelekwa mahakamani hivyo kuchagiza kauli Mbiu ya kuwa na uchumi endelevu.

Aidha Mhe Amos Makalla amewaomba Mawakili kushawishi wateja wao kwa kesi zinazohitaji usuluhishi ili kuweza kuokoa muda, gharama na usumbufu wa nenda rudi mahakamani ambapo migogoro itamalizwa mapema na kutoa fursa kwa wananchi kuendelea na majukumu yao ya kila siku ya kujiletea kipato na kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa Ujumla.

Hata hivyo CPA Amos Makalla ametoa uzoefu wake kuwa wananchi wemekuwa wakiamini Mhe Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa, wakuu wa Wilaya wanauwezo wa kufuta hukumu ya mahakama ambapo sio kweli, ukweli ni kwamba mhimili wa Mahakama hauingiliwi na mtu yoyote kama hujaridhika unapaswa kukata rufaa ngazi ya juu ya mahakama hivyo ni vizuri kuendelea kutoa elimu ya sheria kwa Umma ili wapate uelewa wa sheria.

RC Makalla amesema Serikali ya Mkoa itaendeleza mshikamano na ushirikiano na Mahakama kwa masilahi mapana ya Wananchi

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa