• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Apokea Msaada wa Vitanda vya Wagonjwa Kutoka Ujerumani

Posted on: July 22nd, 2022

- Ni Vitanda 108, Meza 38 na Vyuma161 kwaajili ya majeruhi wa Ajali.

- Avigawanya kwa kila Halmashauri ya Mkoa

- Ampongeza Rais Samia kwa  kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia baina ya Tanzania na Ujerumani.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Amos Makalla leo amepokea Vifaa vya Afya ikiwemo Vitanda vya Wagonjwa, Meza za Wagonjwa na Vyuma vya kusaidia majeruhi wa Ajali kutoka Jiji la Hamburg Ujerumani ambapo Baada ya kupokea amevigawa kwa Halmashauri zote tano za Mkoa.

Akitoa mgawanyo wa Vifaa hivyo, RC Makalla amesema Jiji la Dar es salaam wamepata Vitanda 20, vyuma 32 vya Wagonjwa wa Ajali na meza 7,Halmashauri ya Kigamboni Vitanda 28, meza 10 na vyuma 33 vya Wagonjwa wa Ajali na Halmashauri ya Kinondoni Vitanda 20, meza 7 na vyuma 32 vya Wagonjwa wa Ajali.

Aidha RC Makalla amesema Halmashauri ya Temeke imepata Vitanda 20, Meza 7 na vyuma 32 vya Wagonjwa wa Ajali huku Halmashauri ya Ubungo wakipata Vitanda 20, bedside 7 na vyuma 32 vya Wagonjwa wa Ajali ambapo ameelekeza Vifaa hivyo kutumika vizuri.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema msaada huo umekuja wakati muafaka ambapo tayari Rais Samia Suluhu Hassan amefanya maboresho makubwa sekta ya Afya kupitia Ujenzi wa Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati na Vifaa hivyo vitakwenda kuongeza Nguvu sehemu hizo.

Hata hivyo *RC Makalla* ameelekeza *Kontena tatu Kati ya sita za Vifaa hivyo* ambazo bado zipo bandarini *zikombolewe* kwa wakati ili *lengo la kutolewa kwa msaada huo liweze kutimia

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa