• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO, WA ARDHI LUMO,MADARASA YAANZA KUJENGWA

Posted on: December 21st, 2022

 


- Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za kutekeleza mradi huo

-Apongeza Manispaa ya Temeke kwa utekelezaji wa mradi pamoja na Changamoto ya uhaba wa Ardhi
-Ataka Ujenzi ukamilike kwa wakati kwa viwango na ubora
-Awataka Viongozi wa Serikali ya Mitaa kuitisha mikutano ya hamasa kuhamasisha watoto kwenda Shule


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba ya madarasa ya Ghorofa 32 na Msambao 24 katika Shule ya Sekondari Lumo Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Akiwa katika eneo hilo Lumo-Temeke RC Makalla amemaliza mgogoro wa Ardhi na kuwataka wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali ili kujiletea maendeleo, amesema eneo hilo ni la Serikali wananchi wataje majina ya walio wauzia maeneo hayo ili Serikali iwachukulie hatua za kisheria.
Vilevile ameagiza kujengwa kwa uzio kuzunguka eneo la shule kuepuka uvamizi na Viongozi wa ngazi za Kata na Mitaa kuyalinda maeneo ya Umma yaliyotengwa yatumike kwa kusudio lake
Hata hivyo RC Makalla amemshukuru Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa dhamira yake ya kuboresha miundo mbinu ya elimu Nchini hususani Mkoa wa DSM na kuwataka Viongozi na wana DSM kutembea kifua mbele.
Aidha RC Makalla amepongeza Manispaa ya Temeke kwa kukabiliana na uhaba wa Ardhi kufikia maamuzi ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa ya Ghorofa 32 na kuongeza fedha kutoka mapato ya ndani milioni 500 na Ujenzi unaendelea kwa kasi kubwa.
Hata hivyo Mhe Amos Makalla amewataka kukamilisha kwa wakati kwa kuzingatia thamani ya fedha, Viwango na Ubora
Sambamba na hilo RC Makalla amewataka Viongozi wa Mitaa kufuatia juhudi kubwa zinazofanywa na Mhe  Rais Dkt Samia kuboresha miundo mbinu ya elimu wao kama Viongozi kuitisha mikutano ya hamasa kuhamasisha watoto kwenda Shule na Kamati za ulinzi na usalama zisimamie hilo
Mwisho Halmashauri ya Manispaa ya Temeke pekee imepokea fedha kiasi cha Tshs Bilioni 4.1 kwa ajili ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa 207 ambayo vinatarajiwa kutumika rasmi Januari 2023 


Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa