• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: AKAGUA MIRADI YA MAJI YA ZAIDI YA BILIONI 75 MBWENI, TEGETA 'A' NA MSHIKAMANO-UBUNGO

Posted on: December 2nd, 2022

- Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa msukumo wake kuridhia kutoa fedha kukamilisha miradi hiyo ya maji

- Atangaza Disemba 15 maji yataanza kupatikana rasmi katika maeneo hayo

-Awataka wakazi wa maeneo hayo kuchangamkia fursa ya kuunganishwa maji

-Aagiza DAWASA  kuhamasisha wananchi kuunganishiwa maji na kuzingatia muda alioutoa kwa wakazi kupatiwa maji

- DAWASA watoa offer kwa wateja wa maji kukopeshwa malipo badae Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo ametembelea na kukagua miradi ya maji ya zaidi ya Bilioni 75 ambayo itawanufaisha wakazi wa Goba, Tegeta, Wazo, Bunju, Mabwepande na Mapinga ambao kwa Kipindi kirefu walikua wana changamoto ya Maji.

RC Makalla amekagua Ujenzi wa matenki yenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 6 na pampu za kisasa, hivyo kuwezesha maji kuwa na "pressure" ya kutosha pale yanaposambazwa kwa wananchi.

Aidha RC Makalla amemshukuru Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa msukumo wake wa kuridhia kutoa fedha ambayo imewezesha Kufanikisha kukamilika kwa miradi hiyo ya maji

Hata hivyo RC Makalla ametangaza ifikapo Disemba 15 mwaka huu maji yataanza kupatikana hivyo amewataka wananchi na wakazi wa maeneo hayo kuchangamkia fursa ya kuunganishwa maji.

Vile vile ameagiza DAWASA kuendelea kuhamasisha wananchi kupitia Idara yao ya Mawasiliano kwa Umma ili wananchi waweze kuunganishiwa maji katika kaya zao, waepukane na kadhia waliyokuwa wanaipata kwa muda mrefu

Kwa Upande wa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Wananchi watakao hitaji kuunganishiwa maji sasa watakopeshwa malipo yatafanywa kidogo kidogo kwa Kipindi cha mwaka wanachotakiwa sasa kupeleka maombi katika Ofisi za DAWASA zilizoko karibu nao

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa