• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

Posted on: March 20th, 2023

 

-Awataka Kujikwamua kiuchumi, Kurejesha mikopo kwa wakati

- Ameelekeza Manispaa zote tano DSM kutoa mafunzo kwa wanufaika wa mikopo ya 10%

- Amezitaka Mamlaka za udhibiti ubora bidhaa kutoa huduma rafiki kwa wajasiriamali wadogo na Mabenki kutoa elimu ya fursa zilizoko

- Amshukuru Rais Dkt Samia kwa kuelekeza Mamlaka za mitaa nchini kutenga fedha za mikopo bila riba kutoka katika mapato yake ya ndani

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla leo Machi 20,2023  amekabidhi hundi ya Bilioni 4.6 ya mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi 185 vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu Manispaa ya Temeke katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibasila Jijini Dar es Salaam

CPA Amos Makalla akikabidhi hundi hiyo amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kutimiza kusudio la utoaji wa mikopo kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na Kurejesha kwa wakati ili kutoa fursa kwa wangine kupatiwa mikopo hiyo.

Aidha CPA Makalla ameelekeza Manispaa zote za DSM kutoa mafunzo kwa wanufaika wa mikopo hiyo ili pesa wanazokopa ziweze kutumika kwa kuzingatia kusudio la ombi la mkopo wazalishe bidhaa wapate masoko na kujiongezea kipato.

Hata hivyo CPA Makalla amezitaka mamlaka za udhibiti ubora wa bidhaa kutoa huduma rafiki kwa wajasiriamali pasipo kuwakatisha tamaa,pia Taasisi za kifedha ziendelee kutoa elimu na fursa zilizoko katika taasisi hizo kwa wajasiriamali

CPA Amos Makalla vilevile amemshukuru Rais Dkt Samia kwa kuelekeza Mamlaka za mitaa kote nchini kutenga asilimia 10 ya mapato yake kwa ajili ya mikopo ya makundi maalum ambao ni 4%Wanawake,4%Vijana na 2%Watu wenye Ulemavu

Mwisho CPA Makalla ameipongeza Manispaa ya Temeke kwa kitenga kiasi hicho kikubwa cha pesa pamoja na Pikipiki na bajaji kuwakopesha makundi maalum, ni takwa la kikatiba na wengine waige mfano huu

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa