• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AGAWA DUSTBIN 1,000 KWA DALADALA 1,000 DSM

Posted on: November 17th, 2022

- Apiga marufuku tabia ya abiria kutupa taka nje hovyo

- Asema Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM ni endelevu.

- Ashukuru Kampuni ya Wese kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amegawa Vibebea taka (dustbin) 1,000 kwa Daladala 1,000 zinazofanya safari maeneo mbalimbali ya mkoa huo ambapo amepiga marufuku tabia ya abiria kutupa taka hovyo.

Akikabidhi Vifaa hivyo vilivyotolewa na Kampuni ya Wese Tikisa Tanki, Piga Bao, RC Makalla amesema Serikali kwa kushirikiana na Wadau wamefanikiwa kugawa Vifaa vya kuhifadhi taka kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo ili kuhakikisha Wananchi wanapata sehemu za kutupa taka.

Aidha RC Makalla ameelekeza Madereva na Utingo kuzitumia dustbin hizo kwa lengo lililokusudiwa ikiwa ni pamoja na kuwakemea abiria watakaojaribu kutupa taka nje.

Pamoja na hayo RC Makalla amepongeza Kampuni ya Wese kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa huo kwenye suala la Usafi na kutoa wito kwa Wadau wengine kujitokeza.

Matangazo

  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Aridhia na Mapendekezo ya Ugawaji wa Baadhi ya Kata na Mitaa Kigamboni

    November 29, 2023
  • Hospitali 3 za Rufaa Dar za Kabidhiwa Ambulance za Kisasa

    November 28, 2023
  • DSM Yazindua Mfumo wa Vyeti vya Kuzaliwa vya Watoto

    November 28, 2023
  • RC Chalamila Afungua Mkutano wa Wadau wa TIB

    November 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Akutana na wataalam wa APHFTA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa