• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Afuturisha Mamia ya Wananchi wa Makundi Mbalimbli DSM

Posted on: April 14th, 2023

 

Baadhi ya viongozi na wananchi wa makundi mbalimbali wakiwa katika hafla ya IFTAR katika  viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam jioni ya leo.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam CPA, Amos Makalla leo April 14 amefuturisha Mamia ya Wananchi wa Mkoa huo katika Futari iliyohusisha viongozi na wawakilishi wa makundi mbalimbali Katika jamii.

Akizungumzia wakati wa Hafla hiyo iliyofanyika Viwanja vya Karimjee, RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kudumusha umoja wa kidini uliopo baina ya wakristo na Waislamu.

Aidha RC Makalla ametumia hafla hiyo kumtangaza Sheikh Walid Alhad Kawambwa ambae ni Kaimu Sheikh wa Mkoa huo kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa huo na kutoa wito kwa Wananchi kumpatia ushirikiano Ili kuendelea kudumusha amani.

Kwa Upande wao baadhi ya Wananchi waliopata fursa ya kushiriki hafla hiyo wamemshukuru RC Makalla kwa mwalio na heshima kubwa aliowapatia na wameahidi kuendelea kushirikiana nae katika masuala mbalimbali.

Futari ya Mkuu wa Mkoa imehusisha Wananchi wa makundi yote wakiwemo *Viongozi wa kiserikali, viongozi wa Dini zote, Viongozi wa Taasisi, Machinga, Bodaboda, Yatima, Wajane, Wenye ulemavu na wasiojiweza na wadau wengine.


Mkuu wa Wilaya ya Temeke kulia Mhe Mwanahamis Munkunda akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe Halima Bulembo kushoto wakati wa hafla ya IFTAR iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa CPA Amos Makalla.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa