• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Afungua Mafunzo ya Hati Fungani Dar,

Posted on: September 8th, 2021

- Asema ni mwarobaini wa utekelezaji wa miradi inayokwama kwa kukosa bajeti

- Asisitiza Viongozi katika ngazi za Wilaya kuwa na uelewa wa Hati fungani.

- Asema anataka Mkoa wa Dar es Salaam uwe chuo kwa Mikoa mingine kujifunza Hati fungani

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Septemba 8, 2021 amefungua kikao kazi cha Siku 3 cha mafunzo ya Hati Fungani kwa Serikali za Mitaa katika Ukumbi wa Anatoglo Ilala Jijini Dar es Salaam.

Mafunzo hayo yanaendeshwa na Wataalam Kutoka TAMISEMI yenye lengo la kuwapa mafunzo Viongozi wa ngazi za Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam hususani Sekretarieti ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu tawala wa Wilaya, Wakurugenzi na Wataalam wengine.

Akiongea wakati wa ufunguzi Mhe Makalla amewashukuru TAMISEMI kwa kuandaa mafunzo hayo kwa kuwa ndio utakuwa mwarobaini wa kutekeleza miradi ya Kimkakati katika Halmashauri ambayo ilikuwa inakwama kutokana na ufinyu wa bajeti.

" Kupitia Hati fungani miradi ya maendeleo katika Wilaya hususani ile ya Kimkakati itafadhiliwa, ni imani yangu kuwa Dar es Salaam itakuwa Pilot area" Alisema Mhe Makalla

Aidha Mtaalamu kutoka TAMISEMI Ndg John Cheyo amefafanua kuwa Hati fungani kwa Serikali za Mitaa ni mpya lakini ilikuwa inatekelezwa sana Serikali Kuu kwa kutambua umuhimu wake imeonekana kuna kila sababu ya Kuwa na Hati fungani kwa Serikali za Mitaa.

Kwa kuwa katika Serikali za Mitaa kuna miradi mingi ya maendeleo inayotekelezwa na wakati mwingine inakwama kwa kukosa fedha hivyo kupitia Hati fungani miradi hiyo itafadhiliwa, kitakachohitajika katika mradi husika ni kufanyika kwa upembuzi yakinifu.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa