• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

Posted on: November 4th, 2022

 

- Aelekeza Kila Halmashauri kuwaratibu Vijana hao na kuwatumia kwenye shughuli za Kuimarisha Ulinzi.

- Kampuni za Ulinzi zatakiwa kuajiri vijana waliopata Mafunzo ya Mgambo na JKT.

- Awataka Wakurugenzi wa Halmashauri kutenga bajeti ya kuwezesha mafunzo ya Mgambo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe.Amos Makalla leo amefunga Mafunzo ya Vijana wa Jeshi la akiba Mgambo Mkoani humo ambapo jumla ya Vijana 659 wamehitimu na wapo tayari kushirikiana na Serikali katika shughuli mbalimbali ikiwemo Kuimarisha Ulinzi na usalama kwenye Mitaa.

Akifunga Mafunzo hayo Uwanja wa Uhuru, RC Makalla amewaelekeza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kuwatumia Vizuri Vijana hao kwakuwa wamepata mafunzo na mbinu mbalimbali za kukabiliana na uhalifu ambapo ameagiza kila ofisi ya Serikali ya Mtaa inakuwa na Mgambo.

Aidha RC Makalla ametoa wito kwa wahitimu hao kushirikiana na Serikali kuongeza Nguvu kwenye udhibiti wa matukio ya uhalifu ikiwemo Vikundi vya Panya Road.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Jeshi la Polis kuhakikisha Kampuni za Ulinzi zinatoa kipaombele wa wahitimu wa mafunzo ya Mgambo na JKT tofauti na Sasa ambapo baadhi wameajiri vijana ambao hawana mafunzo.

Hata hivyo RC Makalla ameelekeza kila Halmashauri kutoa fungu la pesa kwaajili ya kuwezesha mafunzo hayo tofauti na Sasa ambapo Wanafunzi wanajitegemea pesa ya kujikimu.

Katika Mafunzo hayo yaliyohusisha Vijana 659 wakiwemo Wanaume 520 na wanawake 139 wamepata Elimu ya Ukakamavu, Mbinu za kivita, usomaji Ramani, utoaji wa huduma ya kwanza, usalama wa Taifa, Kuzuia na kupambana na Rushwa, utimamu wa mwili,uraia, Kazi za polisi na vita vya msituni.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa