• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Aagiza Udhibiti wa Mapato,Usalama na Huduma Nzuri Stendi ya Mabasi Mbezi

Posted on: August 11th, 2022

 

-Atoa Siku 14 kwa LATRA,   wamiliki wa mabasi na Jeshi la polisi kupitia muongozo ulioruhusu Uwepo wa Vituo binafsi vya Mabasi (Private Bus Terminal)

-Asema mfumo wa Kisasa wa udhibiti mapato kukamilika ndani ya wiki mbili

-Autaka Uongozi wa Stendi kurasimisha wadau wote wanaofanya shuguli Stendi ya Mbezi ili kudhibiti vibaka na watu wanaosumbua na kutapeli abiria

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Agosti 11,2022 amekutana na Kufanya Kikao na Uongozi wa Magufuli Bus Terminal pamoja na Wamiliki wa mabasi na wadau wengine wa usafirishaji wa kituo hicho kikao ambacho kimefanyika katika Ukumbi wa Stendi hiyo gorofa ya tatu Wilaya Ubungo Jijini Dar es Salaam.

RC Makalla wakati wa kikao hicho alipata wasaa wa kusikiliza maoni ya Uongozi wa Stendi, wamiliki wa mabasi na wadau wengine kutokana na kero 5 zilizowasilishwa kwake

Ambazo ni mabasi kutoingia ndani yanashusha abilia nje,Uwepo wa Ofisi ya kutolea huduma nje ya Kituo kinyume na Serikali, Askari wa Suma JKT kushirikiana na wakatisha tiket kupitisha abiria bila tiketi,Kuwepo kwa wafanyabishara nje ya Kituo ambao sio rasmi,Uharibifu wa Mazingira kutokana na kuwepo kwa watu wasio na sifa ikiwemo vibaka

Aidha kupitia kikao hicho ilibainika kuwa kero hizo zipo ndipo RC Makalla akatoa Maelekezo yafuatayo

Mosi ametoa siku 14 kwa LATRA, wamiliki wa mabasi na Jeshi la polisi kupitia muongozo ulioruhusu Uwepo wa Vituo binafsi vya Mabasi kuanzia leo Agosti 11,2022.

Hata hivyo ameutaka Uongozi wa Stendi kurasimisha wadau wote wanaofanya shuguli Stendi ya Mbezi ili kudhibiti vibaka na watu wanaosumbua na kutapeli abiria wanaokuja kupata huduma.

Vilevile ili kudhibiti upotevu wa mapato katika Kituo hicho kikuu cha mabasi amesema ndani ya wiki mbili kuanzia leo Agosti 11, 2022 mfumo wa kieletroniki wa kudhibiti mapato utakuwa umekamilika.

RC Makalla amewahakikishia wananchi na watumiaji wa Stendi ya Magufuli Usalama na huduma bora, wanachotakiwa ni kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Serikali

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS MADENGE ASISITIZA UTOAJI HUDUMA BORA ZA AFYA KWA WANANCHI

    January 24, 2023
  • RC Makalla Kuwapeleka Safari ya Mafunzo Viongozi wa Bodaboda na Machinga Nchini Rwanda

    January 20, 2023
  • RC Makalla Atembelea Ujenzi wa Kituo cha Biashara Afrika Mashariki

    January 19, 2023
  • RC Makalla Achoshwa na Danadana za Mkandarasi Soko la Tandale

    January 19, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa