• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Aagiza Mkandarasi Mto Ng'ombe Kurejea Kazini

Posted on: April 27th, 2022

 

Mwonekano wa Mto Ngo'mbe Kinondoni- Dar es Salaam.

- Amtaka Mkandarasi kumaliza Mradi November mwaka huu.

- Amshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitiada zake za kufanikisha Mradi huo unaolenga kuondoa mafuriko Mto Ng'ombe na Kiboko.

- Mbunge Tarimba na Wananchi Wampongeza Rais Samia kwa kuwajali.

- Mradi ulisimama yangu mwezi January kwa madai ya malipo na Serikali umeshafanya Malipo ya Shilingi Bilioni 20 Kati ya Bilioni 30.

Ni Kufuatia Mkandarasi kuondoka site kabla ya kukamilisha Ujenzi.

- Mradi huo unajenga Barabara, vivuko 12 katika Kata 11 lengo likiwa ni kudhibiti mafuriko.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemtaka Mkandarasi kutoka Kampuni ya CHICO anaetekeleza Mradi wa Ujenzi wa Mto Ng'ombe Wenye urefu wa Km 8.5 kurudi eneo la kazi na kukamilisha kazi iliyobaki ili lengo la Serikali kumaliza Kero ya mafuriko kwa Wananchi ikamilike.

RC Makalla ametoa agizo Hilo wakati wa ziara ya kukagua Miradi huo na kukuta Mkandarasi hayuko eneo la kazi licha ya kulipwa zaidi ya Asilimia 60 ya Fedha.

Aidha RC Makalla amemuelekeza Mkandarasi kuongeza Nguvu kazi ili kazi iweze kukamilika na kukabidhiwa kabla ya November mwaka huu.

Kuhusu Wananchi waliolipwa fidia ya zaidi ya Shilingi Bilioni 6 na bado hawajaondoka, RC Makalla ameelekeza wote waliolipwa kupisha Mkandarasi akamilishe kazi ambapo amesema atapita kila wiki kukagua maendeleo ya Ujenzi.

Hata hivyo RC Makalla amewataka TARURA kumsimamia Mkandarasi huyo aanze Ujenzi wa Barabara ya mtaa huo ikiwa ni Baada ya kupokea malalamiko ya Wananchi kuhusu ubovu wa Miundombinu ya Barabara hiyo.


Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa