• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Wakati ni Sasa Wanaume Kushiriki Masuala ya Kijinsia

Posted on: July 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo wakati akishiriki mjadala wa ajenda ya Mwanaume katika malezi, Usawa wa Kijinsia, Afya, Elimu na Uchumi uliokuwa ukiendeshwa na Kituo cha EFM kupitia jukwaa la "MSHUA MASTA"

RC Chalamila amesema mwanaume aanze kuondoa dhana ya baadhi ya vitu ni vya mwanamke kwa mfano iko dhana kupika, kunyosha nguo, kufanya usafi nyumbani, kuosha vyombo ni kazi ya mwanamke tu hiyo sio sawa kila kinachofanywa na mwanamke kinaweza kufanywa na mwanaume pia Jamii iondokane na mifumo dume ili kujiletea maendeleo " ilifika wakati wanawake walikua wananyimwa hata fursa ya kusoma hili Sio sawa ebu fikiria sasaivi tuna Rais Mwanamke hivi mzazi wake angemnyima fursa ya kusoma ingekuaje? " Alisema RC Chalamila

Aidha RC Chalamila amewataka wanawake ili kwenda sawa, kile ambacho wanakitamani kwa mwanaume awe nacho, kuhakikisha na wao wanafanya juhudi za kuwa nacho, kwa kufanya hivyo itachagiza maendeleo katika Jamii.

Sambamba na hilo Mhe Chalamila alimekabidhiwa ngao maalum kwa ajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Philip Isdory Mpango kama kielelezo cha MSHUA MASTA, kwa kuwa mtu wa karibu anayeshirikiana na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi wa Tanzania maendeleo.

Ifahamike kuwa MSHUA MASTA ni jukwaa maalum la kuongeza ushiriki wa wanaume Katika masuala ya kijinsia ili kuleta maendeleo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa