• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Soko Lianze, Madalali Kaeni Pembeni

Posted on: November 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila aliyasema hayo leo Novemba 21,2023 wakati akifungua rasmi soko la Zakhem lililopo kata ya Kibonde Maji Mbagala.

Mhe.Chalamila alisema yeye ni mtu anayenda ukweli na kuchukia ubabaishaji ambapo hapo awali hilo soko lilitekwa na madalali wanaowanyonya wafanyabiashara na wajariamali wanyonge.

RC Chalamila alisema, "Nilitoa onyo kwamba tujirekebishe wote, uroho wakutamani kila mali hautatufikisha popote kwahiyo sisi kama watumishi wa umma lazima tujenge kiasi ili kila mmoja aweze kunufaika na keki ya taifa."

Aliongezea, "Viongozi waliotuteua tukifanya vitu vya ovyo na watumishi wenzetu, wananchi wanamchukia raisi aliyetuteua sisi, tukifanya matendo mema, matendo ya huruma na matendo yanayogusa watu sifa nzuri zinaenda kwa raisi wetu." Na alitoa rai kwa viongozi kuifanya Mbagala kuwa ya miradi mikubwa kwakuwa ndiyo mlango wa mikoa ya kusini ili waweze kukusanya mapato kwa maendeleo zaidi.

Pia RC alitoa pole kwa wote waliokumbwa na athari za mvua hizi za El-Nino ila alitilia mkazo wakazi waliojenga mabondeni kiholela wahame na walinde watoto kuzuia maafa ya maji, kuachana na biashara za laana ikiwemo madanguro.

Naye mkuu wa wilaya ya Temeke mhe Sixtus Mapunda amesema soko hilo ni chanzo cha mapato na mifumo ya sasa imeangalia waasisi wa mwanzo wa soko, watu wa vipato vya chini na wanyonge wapate sehemu.

Kwa upande wa mbunge wa jimbo hilo la Mbagala mhe Abdallah Chaurembo alitumia nafasi hiyo kumshukuru mhe raisi Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazotoa kwa kuboresha maendeleo kwa sekta za barabara, afya na elimu.

Soko hilo lililogharimu Tsh bilioni 2.48 lilikaguliwa na kufunguliwa na RC Chalamila Agust 8, 2023 likiwa limekamilka kila kitu cha miundo mbinu  lakini watu wa hali ya chini walikuwa wamebaguliwa na kunyimwa haki zao.RC CHALAMILA SOKO LIANZE,  MADALALI KAENI PEMBENI.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila aliyasema hayo leo Novemba 21,2023 wakati akifungua rasmi soko la Zakhem lililopo kata ya Kibonde Maji Mbagala.
Mhe.Chalamila alisema yeye ni mtu anayenda ukweli na kuchukia ubabaishaji ambapo hapo awali hilo soko lilitekwa na madalali wanaowanyonya wafanyabiashara na wajariamali wanyonge.
RC Chalamila alisema, "Nilitoa onyo kwamba tujirekebishe wote, uroho wakutamani kila mali hautatufikisha popote kwahiyo sisi kama watumishi wa umma lazima tujenge kiasi ili kila mmoja aweze kunufaika na keki ya taifa."
Aliongezea, "Viongozi waliotuteua tukifanya vitu vya ovyo na watumishi wenzetu, wananchi wanamchukia raisi aliyetuteua sisi, tukifanya matendo mema, matendo ya huruma na matendo yanayogusa watu sifa nzuri zinaenda kwa raisi wetu." Na alitoa rai kwa viongozi kuifanya Mbagala kuwa ya miradi mikubwa kwakuwa ndiyo mlango wa mikoa ya kusini ili waweze kukusanya mapato kwa maendeleo zaidi.
Pia RC alitoa pole kwa wote waliokumbwa na athari za mvua hizi za El-Nino ila alitilia mkazo wakazi waliojenga mabondeni kiholela wahame na walinde watoto kuzuia maafa ya maji, kuachana na biashara za laana ikiwemo madanguro.
Naye mkuu wa wilaya ya Temeke mhe Sixtus Mapunda amesema soko hilo ni chanzo cha mapato na mifumo ya sasa imeangalia waasisi wa mwanzo wa soko, watu wa vipato vya chini na wanyonge wapate sehemu.
Kwa upande wa mbunge wa jimbo hilo la Mbagala mhe Abdallah Chaurembo alitumia nafasi hiyo kumshukuru mhe raisi Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazotoa kwa kuboresha maendeleo kwa sekta za barabara, afya na elimu.
Soko hilo lililogharimu Tsh bilioni 2.48 lilikaguliwa na kufunguliwa na RC Chalamila Agust 8, 2023 likiwa limekamilka kila kitu cha miundo mbinu  lakini watu wa hali ya chini walikuwa wamebaguliwa na kunyimwa haki zao.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa