• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Soko Jipya la Kariakoo Bado Halijapangishwa Epuka Matapeli

Posted on: October 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Oktoba 20,2023 Ofisi kwake Ilala Boma wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu maboresho ya Shirika la Masoko Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila amewataka wananchi kuepuka matapeli wanaowalaghai kutoa pesa ili kuwapatia eneo la Biashara katika Soko hilo Jipya, ambapo amesema maendeleo ya ujenzi wa Soko hilo kwa sasa umefikia asilimia 91, Soko likikamilika litakuwa na maduka 2055  awali kabla ya kuungua moto Soko hili lilikuwa na maduka 1662.

Aidha RC Chalamila amesema Soko likikamilika Mkoa utalikabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia kwa ajili ya Uzinduzi kisha litakabithiwa Shirika la Masoko Kariakoo ambapo taratibu zingine zitafuata kwa Uwazi lakini wale wote waliohakikiwa awali watapewa kipaumbele na kupatiwa ridhaa ya kupanga kwa mujibu wa sheria.

Vilevile Mhe Mkuu wa Mkoa ameleza maboresho yatakayofanyika katika katika Soko hilo ikiwemo uendeshaji wa kidigitali, kufunga taa na kamera, Kuimarisha ulinzi na Usalama ili biashara zifanyike saa 24

Sambamba na hilo Mhe Chalamila amesema ameunda kamati ya zaidi ya watu 15 kwa ajili ya maboresho ya Shirika la Maendeleo Dar es Salaam (DDC) kwa lengo la kuhuisha zaidi Shirika hilo liwe na tija kwa masilahi mapana ya Umma.

Mwisho Rais Mhe Dkt Samia Suluhu dhamira yake ni kuona masoko na mashirika yanakuwa na tija ndio maana ameendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Soko la Kariakoo tayari ameshatoa pesa Bilioni 28.03 kukamilisha ujenzi huo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa