• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Mwanamke Mjasiriamali Anayejitambua ni Chachu ya Maendeleo katika Jamii

Posted on: November 18th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Novemba 18, 2023 wakati wa Kongamano lililoandaliwa na Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) katika Ukumbi wa Hotel ya Hyatt Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila akiwa katika Kongamano hilo alipata wasaa wa kujionea bidhaa mbalimbali zilizotengenezwa na Wanawake wajasiriamali wa kitanzania hususani Mkoa wa Dar es Salaam ambapo amesema kwa takribani miaka mingi Wanawake walikosa nafasi za kuonyesha ubunifu na uwezo wao kutokana na mfumo dume "Iko mijadala ya kitaalam ambayo inaonyesha dhahiri mwanamke ni Smart sana mfano mzuri chunguza kwa makini uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan, mwanamke akijitambua ni mkombozi kwa familia, jamii na Taifa kwa Ujumla" Alisema RC Chalamila

Aidha RC Chalamila amebainisha namna Rais Dkt Samia Suluhu anavyo weka mazingira rafiki ya kibiashara hususani kwa wajasiriamali kuwaunganisha na masoko ikiwemo uboreshaji wa miundombinu, Ununuzi wa Ndege ya Mizigo na hata uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa kufungua fursa za uwekezaji.

Vilevile amewataka Wanawake wote kutumia kongamano hilo kujadili na kujenga uelewa wa ujasiriamali na masoko na kuendelea kuhamasisha Wanawake wengi zaidi kutumia fursa za kijasiriamali kwa maendeleo endelevu.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa TWCC Bi Mwajuma Hamza amesema kongamano hilo linawakutanisha Wanawake wajasiriamali kujadili na kujenga uelewa wa ujasiriamali na masoko ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku kwa masilahi mapana ya jamii na Taifa kwa Ujumla.

Vilevile TWCC imemuomba Mhe Mkuu wa Mkoa kupeleka Salamu kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwa amekuwa mstari wa mbele kuwwzesha Wanawake kwa kuwapatia mitaji,kuwashirikisha katika sera na uboreshaji wa miundombinu unayosadifu ujasiriamali

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa