• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua Upandaji Miti- Mabwepande

Posted on: November 9th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila Leo Novemba 9,2024 amezindua mpango maalum wa upandaji wa miti kandokando ya Mto Mpiji katika eneo la Mabwepande.

Mpango huu unahusisha upandaji wa miche ya michikichi zaidi ya 5,000 kwa lengo la kulinda kingo za mto na kupunguza uharibifu wa mazingira unaosababishwa na mvua zinaponyesha kwa wingi. Mradi huu unalenga kuongeza uoto wa asili na kusaidia kudhibiti mtiririko wa maji yanayovunja kingo za mito kutokana na mmomonyoko wa udongo.

Aidha ilielezwa kuwa moja ya changamoto kubwa katika eneo hili ni maji kujaa mchanga mtoni na hivyo kusababisha mto kutanuka na kuleta madhara makubwa kwa jamii inayozunguka. Kupitia mpango huu wa upandaji miti, inatarajiwa kuwa tatizo hili litapungua na mazingira yatakuwa rafiki zaidi kwa maendeleo endelevu ya eneo hilo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Katibu Tawala wa Manispaa ya Kinondoni Warda Obathany  alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kutoka kwa wadau mbalimbali katika kufanikisha mpango huu utakaosaidia katika kulinda kingo za mito, bali pia utachangia katika kuboresha hali ya hewa kwa kuingiza hewa safi kutokana na miti hiyo.

Wadau mbalimbali waliokuja kushiriki hafla hiyo walionesha matumaini yao na kupongeza juhudi za Serikali katika kuboresha mazingira na kusema kupitia mpango huu, wananchi wataelimika zaidi juu ya umuhimu wa kuhifadhi mazingira na kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza miradi ya aina hii.

Huu ni mwanzo mzuri kwa jiji la Dar es Salaam katika kupambana na changamoto za uharibifu wa mazingira,RC Chalamila amehitimisha kwa kusema Serikali imejipanga kuhakikisha mpango huu unatekelezwa kwa ufanisi na kuahidi kuendelea kuleta miradi zaidi ya mazingira kwa manufaa ya wananchi na mazingira ya Mkoa huo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa