• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua Rasmi Kampeni ya Upimaji Afya Bila Malipo DSM

Posted on: July 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amezindua rasmi Kampeni kabambe ya kupima Afya bila malipo kwa wakazi wa Mkoa huo katika viwanja vya Zakhiem Mbagala, Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.

Akiongea wakati wa Uzinduzi huo ameitaka jamii kujenga utamaduni wa kupima Afya mara kwa mara huku akiainisha huduma za Uchunguzi wa Afya ambazo zitatolewa kupitia Kampeni hiyo ikiwemo Uchunguzi wa Saratani za aina mbalimbali, magonjwa ya macho, Afya ya Kinywa na meno, magonjwa ya ngozi, Magonjwa ya Moyo, shinikizo la damu, Tezi dume, magonjwa ya kina mama na watoto, Kisukari, chanjo dhidi ya UVIKO-19 na Chanjo ya watoto chini ya umri wa miaka 5, na magonjwa mengine mengi ya kuambukiza na yasiyoambukiza, pamoja na uchangiaji wa damu

RC Chalamila amehamasisha wanchi kukata bima ya Afya ambayo itawasaidia kupata matibabu katika nyakati ambazo wanakua hawana pesa taslimu kwa kufanya hivyo ni rahisi kuokoa maisha pindi unapougua ghafla na hauna pesa za matibabu,  hata hivyo Mhe Chalamila amewataka Viongozi na jamii kuheshimu taaluma ya Udakitali kutokana na mchango wao mkubwa kwa ustawi wa jamii.

Aidha RC Chalamila amekemea mtindo wa kuwa na imani za kwenda kwa waganga wa kienyeji pindi unapougua badala ya kwenda hospital kupata vipimo vya kisayansi, pia amezishukuru Taasisi za afya zote zinaoshirikiana na Mkoa katika Kampeni ya kupima Afya bila malipo.

Kwa Upande wa mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Rashid Mfaume amesema wananchi kutumia fursa hiyo ya kupanda vipimo bila malipo lakini pia kujenga tabia ya kupima Afya mara kwa mara kwa kuwa unaweza kujiona uko sawa kumbe unatatizo ambalo ungundua mapema kutibu ingekua ni rahisi.

Mwisho zoezi la Upimaji Afya katika Mkoa limezinduliwa leo Julai 10,2023 na linatarajiwa kuwafikia wananchi zaidi ya elfu 20 ambapo kwa Wilaya ya Temeke wananchi wataendelea kupata huduma hadi Julai 11, 2023, Kigamboni Viwanja vya Mjimwema Julai 12-13, 2023, Ubungo Julai 14-15, 2023 Viwanja vya Barafu, Kinondoni 16-17, 2023 Viwanja vya Tanganyika Peckers Kawe na Jiji la Dar es Salaam 18-19 Viwanja vya Mnazimmoja

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa