• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua Mradi wa Kuimarisha Huduma za Ukunga

Posted on: May 3rd, 2024

 -Mradi huo utatekezwa katika Mikoa miwili Dar es Salaam na Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 3, 2024 amezindua mradi wa kuimarisha huduma za Ukunga kwa niaba ya Waziri wa OR-TAMISEMI hafla ambayo imefanyika katika Kituo cha Afya Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila amemshukuru Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini hususani huduma za afya ya uzazi na mtoto ambapo tunashuhudia kupungua kwa vifo vya akina mama waja wazito kwa kiasi kikubwa

Aidha RC Chalamila amesema Mkoa huo takribani kina mama 160,000 hujifungua kila mwaka hivyo basi watoa huduma wenye ujuzi na weledi wanatakiwa kuwepo ili akina mama wapate huduma stahiki kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

Vilevile RC Chalamila amesema juhudi hizo za Serikali zimekuwa zikiungwa mkono na wadau wa Afya katika kufadhiri Mafunzo kwa watumishi, na kununua vifaa tiba ambapo wenzetu UFDPA, AMREF na TAMA kupitia ubalozi wa Canada wamedhamilia kushirikiana na Serikali katika kutekeleza mradi unaolenga kutoa huduma ya Afya ya uzazi na kuboresha huduma za Ukunga Tanzania.

Kwa Mkoa wa Dar es Salaam mradi utatekezwa katika Wilaya 3 Temeke, Kinondoni na Ilala, mradi unategemewa kugharimu jumla Dola ya Canada 11,750,000 sawa na TZS 22,085,065,000. ambapo mradi utawafikia akina mama waja wazito 1,071852 wakina mama watakao jifungua pamoja na watoto wachanga 805,945, zahanati 180, vituo vya afya 28 na hospitali 12 kata 28 na vijiji 112 vitafikiwa na mradi huu

Mwisho mradi utasaidia kuongeza idadi ya wauguzi wakunga, kuboresha mazingira ya ufanyaji kazi, kuboresha ujuzi na weledi kwa wakunga na kuzuia masuala mtambuka kama kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi, huduma rafiki kwa vijana na huduma za uzazi wa mpango kwa wasiofikiwa na huduma hizo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa