• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Awataka Wanawake Kuchukulia Matatizo Wanayopitia Kuwa Fursa

Posted on: May 23rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Mei 23, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa JNICC wakati wa utambulisho wa program ya Imarisha Uchumi na Samia (IMASA) 

RC Chalamila amesema programu hiyo inalenga kuwawezesha wananchi wa Tanzania bara na Visiwani ambayo itakuwa na madhumuni yafuatayo, kupata takwimu za wananchi waliopo kwenye maeneo husika na shughuli zao katika maeneo hayo, kupata mahitaji ya kiuchumi kwenye maeneo husika kwa kushirikiana na viongoziwa wilaya na Mkoa, kujenga uwezo wa wananchi wote wenye uhitaji kwenye maeneo husika, kutekeleza programu ya kuwezesha wananchi kwenye mikoa na maeneo yao 

Aidha RC Chalamila amesema pamoja na kwamba Serikali inafanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wanawake kiuchumi bado ni vema kila mmoja akatumia changamoto anazopitia kuwa fursa “ Wako wengi ambao wamepitia changamoto nyingi hawakukata tamaa walichukulia kama fursa na leo wanamafanikio makubwa” Alisema RC Chalamila 

Sanjari na hilo programu inayotambulika kama Imarisha Uchumi na Samia (IMASA) ni sehemu ya Jitihada za uwezeshaji wanawake na makundi maalum kwa mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Visiwani programu hii ni kwa kipindi cha miezi sita kuanzia januari 2024 hadi julai 2024 itahusisha wanufaika 62,000 ambapo baraza la uwezeshaji wanawake kiuchumi ndiye msimamizi mkuu wa programu hii kwa kushirikiana na ofisi za wakuu wa Mikoa,Wilaya, Wakurugenzi wa Manispaa, Majiji, Halimshauri za Wilaya na wadau wa maendeleo katika sekta husika Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu imedhamilia kuwezesha wananchi kiuchumi hususani wanawake Mwisho utambulisho wa programu ya IMASA umehudhuriwa na mamia ya wanawake wa Mkoa huo, Mkurugenzi mtendaji wa NEEC, Mshauri wa Rais masuala ya wanawake na Mkundi maalum Sophia Mjema, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Mpogolo na wadau wengine

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa