• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atoa Onyo Kali Wanaopanga Kufanya Maandamano Kupinga Uendelezaji na Ubia wa Bandari

Posted on: June 19th, 2023

- Asema maandamano yanachelewesha uchumi, husimamisha biashara, hufifisha utoaji huduma za afya pia kuleta taharuki

-Asistiza vijana kutumia muda kuelewa tija ya maendelezo na ubia wa Bandari na sio kufanya maandamano

- Akemea upotoshwaji wanaosema nchi imeuzwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa onyo kali kwa kikundi cha watu wanaopanga kufanya maandamano kupinga Serikali kufanya maendelezo na Ubia wa Bandari ya Dar es Salaam.

RC Chalamila amesema hayo leo Juni 19, 2023 Ofisini kwake Ilala Boma wakati akiongea na Waandishi wa Habari.

Mhe Albert Chalamila amesema anauhakika watu hao hawajui wanachokifanya, pia hawajapitishwa vizuri kufahamu Mkataba wa uendelezaji na ubia wa Bandari vilevile hawajui tija ya makubaliano ya uendelezaji wa Bandari hivyo Serikali iko tayari wakati wowote kueleza tija ya maendelezo na Ubia wa Bandari hiyo.

Aidha RC Chalamila amesema maandamano siko zote hayana faida yoyote zaidi ni kuchelewesha uchumi, kusimamisha biashara, kufifisha huduma za afya na kuleta taaruki kwa jamii ambazo zitarudisha nyuma maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa Ujumla.

Hata hivyo RC Chalamila amewataka Vijana au kikundi cha watu wanaopanga kufanya maandamano kutumia muda huo Kipitia Mkataba wa Maendelezo na Ubia wa Bandari ili kujua nia njema ya Serikali na tija ya maendelezo hayo

Sambamba na hilo RC Chalamila amekemea upotoshwaji unaofanywa na watu wanaosema nchi imeuzwa hata siku moja Rais hawezi kuuza nchi Rais ameapa kulinda nchi na kuwaletea Maendeleo wananchi wake na siku zote Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amekuwa akipambana kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila mtanzania

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa