• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atilia Mkazo Uongozi Unaoacha Alama

Posted on: July 2nd, 2024

 

-Apongeza Halmshauri ya Temeke na Kigamboni kwa kupata hati safi

-Asema elimu ya kodi ifundishwe kuanzia kwa watoto wadogo

-Azitaka Halmshauri za Mkoa kubuni namna ya kukuza sekta ya Utalii

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 02,2024 ameshiriki Baraza maalum la Madiwani la Hoja ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG katika Halmshauri ya Manispaa ya Temeke Ukumbi wa Iddy Nyundo na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kwa nyakati tofauti.

RC Chalamila amewataka viongozi na watendeji wakati wote wanapotekeleza majukumu yao kuhakikisha wanaacha alama kwa kutekeleza miradi mikubwa ambayo ina masilahi mapana kwa wananchi kama vile ujenzi wa Hospitali kubwa, masoko ya kisasa, na maeneo ya vivutio vya utalii

Aidha RC Chalamila amepongeza wilaya ya Temeke kwa kupata Hati safi miaka 3 mfululizo pia Manispaa ya Kigamboni kwa kupata Hati safi miaka 7 mfululizo toka ianzishwe ambapo amewataka kuendeleza utamaduni huo pia kuhakikisha wanashirikiana na ofisi ya CAG, kuzingatia maelekezo na maagizo ya LAAC pamoja na ushauri wa mara kwa mara wa wakaguzi wa ndani

Vilevile amepongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato na kuwataka kuongeza kasi zaidi kwa kuwa na ubunifu wa kubuni vyanzo vipya na kubana mianya ya upotevu wa mapato lakini pia kuendelea kutoa elimu ya kodi hususani kwa watoto wadogo ili wakiwa watu wazima watambue kulipa kodi ni lazima na sio hiyari.

Sanajari na hilo RC Chalamila amesema bado Mkoa haujafanya vizuri katika sekta ya utalii ambayo ni fursa ya kuongeza mapato hivyo amewataka viongozi na watendaji kuketi kutazama upya sekta hiyo ambapo amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila kusimamia hilo.

Kwa upande wa Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila alisema sio vema kuwa hodari wa kujibu hoja bali ni vizuri kuwa hodari katika kuzuia hoja kwa kuzingatia ushauri wa mkaguzi wa ndani lakini pia kuzingatia kanuni, miongozo na sheria za usimamizi wa fedha ili kuendelea kuweka historia ya kuwa na hati safi kila mwaka wa fedha kwa Halmashauri zote za Mkoa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa