• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atembelea Shule ya Msingi Olympio

Posted on: July 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 20, 2023 ametembelea shule ya msingi Olympio - Ilala Jijini la Dar es Salaam.

RC Chalamila amefanya ziara katika shule hiyo kwa lengo la kujionea uhalisia wa maendeleo ya shule hiyo katika nyanja za miundombinu, idadi ya wanafunzi, walimu na mazingira ya kufundishia na kujifunzia kwa ujumla wake

Akiwa shuleni hapo RC Chalamila ameelekeza Wazazi kulipa Ada ili kuiwezesha Shule hiyo kuboresha miundombinu na vitu vingine vinavyofanana na hivyo, pia ameagiza kuandaa kikao cha wazazi ambacho kitatoa fursa kwa pamoja kujadili mambo hayo huku akimtaka Mkurugenzi wa Jiji kwa kushirikiana na Mwl Mkuu kuandaa taarifa ya mapato na matumizi, taarifa ya madeni ya wanafunzi, hali halisi ya Taaluma, pia taarifa ya bodi ya shule.

Aidha RC Chalamila ameagiza kujengwa kwa ukuta wa mbele na nyuma na kufungwa camera kwa ajili ya usalama katika shule hiyo.

Sambamba na hilo Mhe Chalamila alipata wasaa wa kuongea na walimu kusikiliza Changamoto zao na kuzipatia majibu hata hivyo amewapongeza walimu kwa jitihada zao katika kufanya Kazi.

Kwa upande wa Mkuu wa  Wilaya ya Ilala Mhe Edward mpogolo amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kutekeleza maagizo yake kwa wakati kwa masilahi mapana ya ustawi wa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo.

Shule ya Msingi Olympio ni shule inayotumia lugha ya kingereza kufundishia na kujifunzia ina wanafunzi 5,567 walimu 67 wa Serikali na 23 wakujitolea

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa