• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atembelea na Kukagua Athari za Mazingira Mto Mpiji

Posted on: September 16th, 2023

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 16, 2023 katika muendelezo wa ziara yake Wilaya ya Kinondoni ametembelea na kukagua athari za mazingira zinazotokana na Shughuli za kibinamu katika mto mpiji  unaopakana kati ya Dar es Salaam na Pwani ambao ni mpaka kati ya mikoa hiyo miwili.

Akiwa katika ziara ya kukagua mto huo aliambatana na Kamati ya usalama, wadau wa Mazingira pamoja na wataalam wengine wakiwemo NEMC.

RC Chalamila alipata wasaa wa kusikiliza maoni mbalimbali kutoka kwa wadau na wataalam wa mazingira juu ya nini kifanyike ili kunusuru athari zinazoweza kujitokeza kutokana na uharibifu unaofanyika katika mto huo ambapo amemtaka kamanda wa polisi kulinda mto huo na kamwe wasikubali kutishiwa na mtu yeyote dola lazima ipewe heshima yake.

Aidha RC Chalamila amesema katika kulinda mto huo lazima kuwe na uratibu wa pamoja hivyo anaendelea kukusanya taarifa za kitaalam na atarudi tena "modal" nzurii yenye kuleta namna bora ya kulinda mto huo kwa masilahi mapana ya Umma.

Vilevile Mhe Saad Mtambule Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni amesema wako tayari kushirikiana na Wilaya jirani ya Bagamoyo kuja na mkakati wa pamoja katika kuona namna bora ya kuhifadhi mto huo wako watu watu wana chimba mchanga pasipo kufuata taratibu za uchimbaji.

Mwisho Mhe Albert Chalamila alifika katika daraja linalotenganisha mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ukielekea Bagamoyo ili kujionea uhalisia hususani kutokana na uwezekano wa kunyesha mvua kubwa kama mamlaka ya hali ya hewa ilivyotabili na hatua gani za haraka zinaweza kuchukualiwa endapo mvua hizo zitanyesha

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa