• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atembelea Kiwanda cha Chibuku-Ubungo

Posted on: December 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Decemba 07,2023 ametembelea na kukagua mali na mitambo ya kiwanda cha chibuku kilichoko Ubungo ambacho kwa muda mrefu kimesimama uzalishaji wa pombe hiyo.

RC Chalamila akiwa katika eneo la kiwanda amesema ujio wake katika kiwanda hicho ni kujionea mali zilizoko kwa ajili ya kukabidhi rasmi kiwanda pamoja na mali zote kwa Halmashauri tatu ambazo ni Jiji, Temeke na Kinondoni, Halmashauri hizo tatu zitakabidhiwa kiwanda hicho na TBL kwa mujibu wa Sheria.

Aidha RC Chalamila amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa huo Bi Rehema Madenge kuunda timu ya makabidhiano ndani ya muda mfupi, na baadaye iundwe bodi ya mpito ambayo itafanya kazi hadi pale Bodi rasmi itakapo undwa

Vilevile RC Chalamila ameelekeza wakati wote wa vikao muwakilishi kutoka Wilaya ya Ubungo na Kigamboni awepo na ashiriki vikao hivyo " baada ya kiwanda hicho kukabidhiwa kwa Halmashauri hizo 3 ndipo namna ya uendeshaji, uzalishaji wa kinywaji gani utajulikana"  Alisema RC Chalamila

Sambamba na hilo RC Chalamila amesema dhamira ya kufufua kiwanda hicho ni kutekeleza maagizo ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kiwanda hicho kitafungua fursa za ajira kwa jamii pia Serikali itapata mapato " kukiacha kiwanda hicho kikiwa haikifanyi kazi Serikali inapoteza mapato mengi pamoja na kupoteza fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania kitu ambacho hakikubaliki hata kidogo" Alisisitiza Mhe Chalamila

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa