• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Taasisi za Elimu Kuandaa Mtaji wa Kibinadamu (Human Capital)

Posted on: May 18th, 2024

 

-Asema nchi za Afrika zina kila kitu lakini bado hazijawekeza vizuri katika mtaji wa kibinadamu (Human Capital).

-Awataka wazazi na walimu kuwawezesha wanafunzi kutambua uwezo wao kama wanajamii wenye tija.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 18, 2024 akiwa mgeni rasmi katika mahafali ya kidato cha sita St Joseph Cathedral, amezitaka Taasisi za elimu ikiwemo shule za Sekondari kujipanga vizuri katika kuandaa mtaji wa kibinadamu (Human Capital) wa badaye.

RC Chalamila amesema hayo leo wakati wa mahafali ya 13 ya kidato cha sita 2024 katika shule ya St Joseph Cathedral inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam.

Mhe Albert Chalamila amesema mtaji wa kibinadamu (Human Capital) unajumuisha maarifa, ujuzi, na Afya ambayo watu huwekeza na kujilimbikiza katika maisha yao yote na kuwezesha kutambua uwezo wao kama wanajamii wenye tija.

Aidha RC Chalamila amesistiza mtaji huo wa kibinadamu uwekezaji wake unaanza katika ngazi ambazo vijana hupatiwa elimu kama ilivyo katika shule hii ya St Joseph Cathedral.

Sanjari na hilo RC Chalamila alishiriki kutoa zawadi mbalimbali kwa wanafunzi waliofanya vizuri pia aliendesha harambee kwa wazazi na wageni waalikwa ili kutoa zawadi kwa Mkuu wa Shule,  vilevile ameikabidhi shule hiyo pikipiki mpya kwa ajili ya matumizi madogo madogo shuleni  hapo

Mwisho Mhe Albert Chalamila amewataka wazazi na walimu kuwawezesha wanafunzi kutambua uwezo wao kama wanajamii wenye tija " Tuache kuwalinda sana watoto lazima tuwajenge katika mazingira ya kutambua siku moja watakua na maisha yao na watatakiwa kutoa mchango kwa Taifa lao pasipo kumtegemea Mzazi kwa masilahi mapana ya Taifa" Alisema RC Chalamila

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa