• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Mapato ya Halmashauri ya Jiji DSM yakusanywe Ipasavyo

Posted on: June 20th, 2023

-Amtaka Mkurugenzi kusimamia kwa karibu na kuchukua hatua Stahiki kuhusiana na hoja zinazotokana na upotevu wa fedha za umma

-Aelekeza Baraza la madiwani kurekebisha mienendo mibovu na kumsaidia Mkurugenzi kutekeleza majukumu yake vizuri

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa pongezi kwa Halmashauri ya jiji la DSM kufuatia kupata hati safi miaka mitano mfululizo huku akiwataka kuendelea kukusanya mapato zaidi kwa kuwa bado kuna baadhi ya vyanzo havikusanywi vizuri mfano chanzo cha Ushuru wa huduma (Service Levy)

Ameyasema hayo leo Juni 20,2023 wakati wa kikao maalum cha Baraza la madiwani la kupitia hoja za mdhibiti na mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika katika Ukumbi wa Arnatoglo Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila ametamka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji hilo kusimamia kwa karibu na kuchukua hatua Stahiki kuhusiana na upotevu wa fedha za umma, kutoa kipaumbele kwenye utekelezaji wa maagizo ya LAAC, kukijengea uwezo na kukitumia ipasavyo kitengo cha mkaguzi wa ndani na kujibu kwa wakati hoja zote za CAG

Aidha Mhe Chalamila ameelekeza Baraza la madiwani kuhakikisha linarekebisha mienendo mibovu katika Halmashauri na kumsaidia Mkurugenzi kutekeleza majukumu yake vizuri kwa kuwa uwezo huo wanao " namna peke ya kujipatia heshima kwa Mhe Diwani ni pale umma unapofarijika na utawala wake na si vinginevyo" Alisema RC Chalamila

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa