• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Kuenezwa Utambuzi wa Lugha ya Kiswahili maeneo Mbalimbali

Posted on: July 5th, 2024

 

-Apokea matembezi  ya wanafunzi katika shamrashamra za maadhimisho ya siku ya Kiswahili Duniani

-Ataka Jamii kujivunia Lugha ya Kiswahili

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 05,2024 ameungana na mamia ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari kuadhimisha siku ya Kiswahili Duniani maadhimisho ambayo yamefanyika katika viwanja vya Posta Kijitonyama Wilaya ya Kinondoni.

RC Chalamila akiwa mgeni rasmi wa tukio hilo amepokea matembezi ya wanafunzi yaliyoongozwa na Brass Bend ya Jeshi la Magereza na baadaye alipata wasaa wa kutoa hotuba.

RC Chalamila akiongea na mamia ya wanafunzi katika maadhimisho hayo amesema ni muhimu kueneza utambuzi wa lugha ya Kiswahili katika maeneo mbalimbali ikiwemo mashuleni ambapo alisema kwa sasa Kiswahili kinafanya vizuri hapa nchini na kwingineko Duniani ni vema kuendelea kueneza utambuzi zaidi wa lugha hiyo

Aidha ameitaka jamii kujivunia lugha ya Kiswahili ambapo amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha Kiswahili kinakua ndani na nje ya nchi hivyo ametoa pongezi kwa wale wote wanaopigania makuzi ya Lugha hiyo hususani wanafunzi vilevile ametoa tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mashindano ya uandishi wa Insha kwa lugha ya Kiswahili.

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Saad Mtambule amesema lugha ya Kiswahili sio tu inatuunganisha bali ni kielelezo cha utamaduni wetu hivyo ni lazima tutumie Kiswahili na tuzungumze lugha hiyo kwa kujidai kabisa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa