• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Beach yenye Hadhi ya Kimataifa

Posted on: April 18th, 2024

-Akerwa na mazingira ya uchafu Coco beach

-Asema Coco beach ni ya wanyonge akemea uendelezaji usio na tija katika fukwe hiyo ya Coco beach

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila katika muendelezo wa ziara yake leo April 18,2024 amatembelea fukwe ya Coco beach Wilaya ya Kinondoni Jijini humo.

Akiwa katika eneo la fukwe ya Coco RC Chalamila alipata wasaa wa kukagua na kuongea na wafanyabishara wa eneo hilo pamoja na uongozi wa Manispaa ambapo amepongeza juhudi zinazofanywa na Manispaa lakini hakufurahishwa na hali ya usafi katika fukwe hiyo.

Ambapo ameagiza uongozi wa Kinondoni kushirikiana na wafanyabishara wenye uwezo ili kugharamia uwekaji wa perving katika eneo la mbele ya mabanda ili kuwe nadhifu na maji yasituame ovyo hasa Kipindi hiki cha msimu wa mvua

Aidha RC Chalamila amewataka viongozi wa Manispaa ya Kinondoni kufikiri zaidi namna ya kuboresha fukwe hasa upande wa kuanzia police mercy, Seacliff hotel ili kuwe na hadhi ya kimataifa " Nataka tuwe na fukwe hata Rais wa nchi nyingine akitembelea DSM aweze kuletwa katika fukwe hiyo iwe ni fukwe yenye hadhi ya kimataifa" Alisema RC Chalamila

Vilevile RC Chalamila ameutaka uongozi wa Manispaa ya Kinondoni kutofanya uendelezaji ambao hauna tija kwa mfano sehemu ya fukwe ya upande wa kuelekea Daraja la Tanzanite ambako viongozi wengi wa ubalozi wanaishi kuacha mara moja asingependa kuona uendelezaji wa aina yoyote katika sehemu hiyo.

Pia RC Chalamila amesistiza kutokubali kuchukua au kupata pesa bila kuangalia uhai wa kesho vilevile amesema kila mmoja awe na mkakati wa usafi kwa kuwa balozi wa kwanza wa usafi ni mimi na wewe.

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Saad Mtambule amekiri kupokea maelekezo kwa ajili ya utekelezaji ikiwemo suala la usafi na ubunifu katika fukwe ili kuleta tija kwa Jamii ya wanakinondoni, Mkoa na Taifa kwa ujumla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa