• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akutana na Wamiliki wa Viwanda vya Saruji na Nondo

Posted on: April 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 22, 2024 amekutana na wafanyabishara wanaomiliki viwanda vya saruji na Nondo ambavyo ni MMI, LAKE, CAMEL, TWIGA na KIBOKO katika Mkoa huo Ofisini kwake Ilala Boma.

Akiongea na wamiliki hao wa Viwanda vya Saruji na nondo amesema amewaita kwa lengo la kufahamiana vilevile na wao kupata fursa ya kuwafahamu viongozi wao ngazi ya Mkoa ili pale kunapokuwa na changamo wajue nani wakuweza kutatua kwa masilahi mapana ya mkoa na Taifa kwa ujumla.

Aidha RC Chalamila amesema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anathamini uwekezaji hapa nchini ndio maana siku zote amekuwa akiboresha mazingira ya wawekezaji ambapo ameweza kuunda wizara maalum ya uwekezaji na Mipango hiyo yote ni katika jitihada za kuimarisha uwekezaji na kuvitia wawekezaji.

"Na sisi ambao tuko chini yake katika maeneo yetu jukumu letu kubwa ni kuhakikisha tunaweka mazingira mazuri na rafiki kwa wawekezaji ili kwenda sambamba na maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu.

Sambamba na hilo RC Chalamila amesema atanya ziara katika viwanda hivyo ili kuweza kujua Changamoto zinazowakabili pamoja na kuwatia moyo katika uwekezaji wao lakini pia amewaomba kuwa marafiki wazuri wa Serikali, walipe kodi bila shuruti na kuwa mabalozi wazuri bila kusahau kuchangia maendeleo ya Mkoa ikiwemo ujenzi wa hosteli za kike ili kuondoa adha inayowakabili wanafunzi katika Mkoa huo.

Kwa upande wa Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila amewataka wafanyabishara hao kuchangia maendeleo ya Mkoa huo hususani ujenzi wa hosteli kwa kuwa wanafunzi wa mkoa huo wamekuwa wakipata shida za usafiri, mimba ambavyo vinapelekea kushusha viwango vya ufaulu wa katika masomo yao

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa