• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akanusha Shule ya Msingi National Housing Kuuzwa

Posted on: November 13th, 2024

 

-Asema jamii ipuuze uvumi unaosambaa wa kuuzwa kwa shule hiyo.

-Akiri dhamira ya Serikali kufanya maboresho makubwa ya ukarabati shule hiyo.

-Aagiza ukarabati ukianza ambao utahusisha pia ujenzi wa majengo ya Ghorofa usiathiri wanafunzi kuondoka

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 13, 2024 amefika katika shule ya msingi National Housing wilaya ya Ubungo Jijini humo na kukanusha uvumi uliokuwa ukisambaa kupitia mitandao ya kijamii kuwa shule hiyo inayomilikiwa na serikali imeuzwa.

RC Chalamila ameitaka jamii kupuuza uvumi huo ambao sio kweli shule ni mali ya serikali na itaendelea kuwepo siku zote hivyo jamii na wanafunzi wanaosoma katika shule hiyo waondoe shaka shule itaendelea kubaki hapo hapo

"Hakuna mwanafunzi ataondolewa kutoka Shule ya Msingi National Housing kwenda shule ya msingi Ubungo Plaza" Alisisitiza RC Chalamila.

Aidha RC Chalamila amefafanua dhamira ya Serikali kuboresha miundominu ya shule hiyo ikiwemo ukarabati na kwa siku za mbeleni ujenzi wa madarasa ya ghorofa kutokana na uhaba wa maeneo na hiyo ni sera ya Mkoa ili kuwa na matumizi bora ya Ardhi vilevile ameagiza shughuli hizo zitakapotekelezwa zisiathiri wanafunzi kuondoka katika shule hiyo.

Sanjari na hilo RC Chalamila alipata wasaa wa kuongea na wanafunzi na kuwataka kusoma kwa bidii, shule ipo haiwezi kuuzwa hivyo waondoe shaka.

Ifahamike kuwa shule ya msingi National Housing iliyoko nyuma ya Jengo la Ubungo Plaza inaendelea bado kutoa huduma  wanafunzi sio chini ya 600 wanasoma katika shule hiyo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa