• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afungua Semina Elekezi kwa Mawakala wa Bima DSM

Posted on: October 13th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Oktoba 13, 2023 amefungua semina elekezi kwa Mawakala wa Bima zaidi ya 1300 katika Ukumbi wa Mikutano Ubungo Plaza Jijini Dar es Salaam.

Akifungua mafunzo hayo RC Chalamila amesema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amefungua fursa nyingi za uwekezaji, mataifa mbalimbali yanakuja kuwekeza hivyo Taasisi za bima, na Mawakala ni wakati muafaka wa kuitumia fursa hiyo kikamilifu kwa kuwa Rais amewaongezea wadau wa Bima " Muhimu zaidi kwa makampuni ya bima ni kuzingatia misingi ya Uaminifu na Uadilifu pale majanga yanapotokea mchakato ufanyike kwa wakati" alisema RC Chalamila

Aidha RC Chalamila amewataka mawakala wa bima kujiuliza maswali yafuatayo kwa nini tuko hapa? Mteja wako ni nani? ambapo kupitia maswali hayo juhudi kubwa iwekwezwe katika kuelimisha na kuhamasisha jamii umuhimu wa kuwa bima za aina mbalimbali ambazo zitawanusuru wanapofikwa na majanga " tufikie pahala bima iwe ni utamaduni katika jamii zetu kama ilivyo kula chakula unvyohisi njaa." Alisisitiza Chalamila

Kwa Upande wa Mwakilishi wa Kamishana wa Bima Ndg Frank Shangani amesema mafunzo hayo yamehusisha makampuni ya Bima zaidi ya 1300 ambapo lengo kubwa ni kuelimishana na kukumbushana namna ya kuendeleza sekta hiyo kwa masilahi mapana ya Wananchi na amemuhakikishia mkuu Mkoa kuyafanyia kazi maagizo na maelekezo yake

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa