• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afanya Kikao na Mashirika yasiyo ya Kiserikali Pamoja na Viongozi wa NACONGO- DSM

Posted on: August 22nd, 2024

RC CHALAMILA AFANYA KIKAO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI PAMOJA NA VIONGOZI WA NACONGO-DSM

-Atoa elimu na umuhimu wa mashirika yasiyo ya kiserikali katika Mkoa.


-Ahamasisha uimarishwaji wa ushirikiano Kati ya serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Agosti 22, 2024 amekutana na kufanya kikao na viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali katika ukumbi wa Karimjee-Posta ikiwa ni katika Jukwaa la Mwaka la Mashirika yasiyo ya serikali Mkoa wa Dar es salaam.

RC Chalamila kupitia kikao hicho alipata wasaa wa kutoa elimu na kuelezea namna bora ya kuendendesha Mashirika yasiyo ya kiserikali na kufahamu zaidi majukumu yake kwa kupeana ushirikiano madhubuti na kujua namna ya kuhimili na kukabiliana na changamoto wanazokutana nazo katika kukuza maendeleo ya jamii kupitia kaulimbiu yao inayosema "Mashirika yasiyo ya kiserikali yashirikishwe katika Utawala Bora"

Vilevile RC Chalamila amehimiza NGOs kuoanisha mipango yao na vipaumbele vya serikali,hususani katika maeneo ya kupunguza umaskini,usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa vijana na hata kushiriki kwenye mijadala ya dira ili kujua fursa mbalimbali zipatikanazo katika dira hizo.

Aidha Mhe. Chalamila ametoa maagizo kwa viongozi hao ikiwemo kulinda desturi,kuwasilisha fedha za utekelezaji,kuhakikisha wanufaika wanashiriki ipasavyo ili kuwezesha uendelevu wa miradi. Ameongeza kwa  kusema kuwa mashirika haya yanapaswa kuwa endelevu na kushirikiana na serikali kwa maendeleo ya Taifa zima

 Sanjari na hayo, Mwenyekiti wa bodi ya Mashirika yasiyo ya kiserikali Bi. Mwantumu amewahakikishia viongozi hao kupata matokeo mazuri kutokana na vikao mbalimbali vinavyowekwa kutokana na ushirikiano aliouonesha Mhe. Chalamila katika kikao hiki Cha Leo na katika vikao vingine pia ametumia fursa hiyo kuwasihi vijana kupambanua uzalendo wao na kutohamasisha kufanya mambo mabaya kwa jamii na kuelekezana mambo yalio Bora kwa kuwa Taifa hutegemea sana vijana kwa jamii ya baadae

Mwisho RC Chalamila ameshukuru viongozi na wadau wa Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa ushirikiano na kazi wanazotekeleza na kuwahamasisha kufanya kazi kwa weledi na kupanua wigo wa ushiriki katika jamii.






 







 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa